Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,546
- 225,121
Tatizo wanaume wanataka heshima na wakati hawajajiweka kwenye nafasi ya kupewa heshima.Sidhani Kama watakuelewa
Tatizo wanaume wanataka heshima na wakati hawajajiweka kwenye nafasi ya kupewa heshima.Sidhani Kama watakuelewa
Mwanaume anaamini mambo ya mahusiano hayamuhusu. Yeye awe mshenzi lkn apate mke/mpenzi mwema. Si kwa karne hiiTatizo wanaume wanataka heshima na wakati hawajajiweka kwenye nafasi ya kupewa heshima
Mungu humpa kila mtu wa kufanana naye.Mwanaume anaamini mambo ya mahusiano hayamuhusu. Yeye awe mshenzi lkn apate mke/mpenzi mwema. Si kwa karne hii
Hata wanaume wa kuonyesha utii Kama huo kwao walisombwa juzi na kivuko ukaraWanawake wa hivyo walikufa vita ya dunia
Ndo haya mashindano na wanaume mnayoambiwa lakini hamsikii kama mna laana vile.Hata wanaume wa kuonyesha utii Kama huo kwao walisombwa juzi na kivuko ukara
Huwezi ukaheshimiwa Kama hujakaa vema kwenye nafasi yakoNdo haya mashindano na wanaume mnayoambiwa lakini hamsikii kama mna laana vile.
Mbona unachanganya mambo.Huwezi ukaheshimiwa Kama hujakaa vema kwenye nafasi yako
Ukiona mwanamke anakudharau Rudi jitathmini wapi unakosea
Sipo hapa kwa ajili ya kutetea wanawake lakini naongea ukweli
Mwanaume aliyesimama vema katika nafasi yake hawez kumpa mwanya mwanamke wake amdharau
Hakuna Jambo lolote nililochanganyaMbona unachanganya mambo.
Kasichana kangu kananitii hadi wakat fln nahis ni ka-SPY!! Kananitii had navimba!!!
Kama mume ananipenda basi hakika na mimi namtii hakuna hilo halina ubishi hapo.
Ndo wanachotaka ila wanashindwa kusema directly wanazunguka tu.Mwanaume anaamini mambo ya mahusiano hayamuhusu. Yeye awe mshenzi lkn apate mke/mpenzi mwema. Si kwa karne hii
Kwa sababu siyo jukumu lake kutafuta pesa wewe mkeo akwambie ufanye kazi za ndani utakuwaje?Na mwanamke akiwa na kazi mamamamamama yaaan Ndo kiburi kinaongezeka maradufu
Waache waendelee hivyo hivyo. Dunia ya Sasa ni wanawake wachache wanaweza vumilia upuuzi. Watakuja shtuka while it's too late.Ndo wanachotaka ila wanashindwa kusema directly wanazunguka tu
Ndo wanachotaka ila wanashindwa kusema directly wanazunguka tu
Na mwanamke akiwa na kazi mamamamamama yaaan Ndo kiburi kinaongezeka maradufu
Waache waendelee na mashindano si wanadhani kuna tuzo.Ndo haya mashindano na wanaume mnayoambiwa lakini hamsikii kama mna laana vile.