Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Imetokea mara kibao nikimtokea mnyange nataka kuwa na uhusiano nae wa kimapenzi tu na sikumwoa nimekuwa napigwa vibuti kutokana na kuweka wazi dhamira yake kwa mrembo. Nilipo kaa na wadau wakaniambia hii gia siku hizi haitumiki ingia kwa gia ya kuoa, basi tokea hapo hii gia inanisaidia kumega ingwa mnyange mwenyewe anajua fika namfunga kamba kuwa sina lengo la kumuoa namega tu na kuachana nae anakubali.
Je wanyange kwanini mnakubali kudangwanywa kirahisi hivyo? Mpaka mtu aingie kwa gia ya ndoa ndo ukubali huku ukijua unadanganywa?
Je wanyange kwanini mnakubali kudangwanywa kirahisi hivyo? Mpaka mtu aingie kwa gia ya ndoa ndo ukubali huku ukijua unadanganywa?