Lazaro Nyalandu: Tuna wajibu wa moja kwa moja kushiriki katika ujenzi wa Taifa na kuijenga jamii yenye misingi imara endelevu ya demokrasia ya Kweli

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
nyalandu.jpg


SOTE tuna wajibu wa moja kwa moja kushiriki katika ujenzi wa Taifa na kuijenga jamii yenye misingi imara na endelevu ya demokrasia ya kweli, haki, umoja, usawa, uhuru, na fursa ya kila mwana jamii kujiendeleza bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, dini, jinsia, kabila, kanda, ama tofauti zingine zozote. #MunguIbarikiTanzania
 
View attachment 900685

SOTE tuna wajibu wa moja kwa moja kushiriki katika ujenzi wa Taifa na kuijenga jamii yenye misingi imara na endelevu ya demokrasia ya kweli, haki, umoja, usawa, uhuru, na fursa ya kila mwana jamii kujiendeleza bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, dini, jinsia, kabila, kanda, ama tofauti zingine zozote. #MunguIbarikiTanzania
huku kunaitwa kufa kisiasa
 
Huyu jamaa hawezi kwenda Serengeti na mbuga nyingine bila ulinzi, twiga na tembo wana hasira naye wamemkariri hadi harufu na ana WANTED! warning huko.Cha kushangaza ndo kipenzi cha wana CDM siku hizi. Ndo maana tunaona bora CDM ife kije chama kingine cha upinzani kilicho serious.
 
View attachment 900685

SOTE tuna wajibu wa moja kwa moja kushiriki katika ujenzi wa Taifa na kuijenga jamii yenye misingi imara na endelevu ya demokrasia ya kweli, haki, umoja, usawa, uhuru, na fursa ya kila mwana jamii kujiendeleza bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, dini, jinsia, kabila, kanda, ama tofauti zingine zozote. #MunguIbarikiTanzania
Demokrasia ya kweli ipi? Huko kwa Trump mbakaji amekuwa CJ wao ingawa wengi wamepinga hilo lakini hakuna kilichobadilika.
 
Eti naye aliutaka urais, kwakweli Kikwete alisababisha urais kudharaulika sana

Katiba mbona iko wazi mkuu, Uwe na akili timamu, umevuka umri uliowekwa nk sasa sidhani kama kuna kipengere kwenye katiba kilimkataza kuchukua form na kugombea urais.
 
Bila kiwepo mgawanyiko kati Membe na Lowassa kwenye nomination ya CCM 2015; kungekuwa na watu muda huu ama wakuu wa wilaya au mkoa.

Ukishaokota dodo kwenye mnazi basi kuwa muungwana kwa kusema asante.
 
Demokrasia ya kweli itatubidi wananchi tuingie mabarabarani tumwage damu kwanza ndiyo itapatikana
 
Back
Top Bottom