Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
Huyu jamaa file lake lipo....Nyalandu..
He is not that bad buddy...ila malengo yake ya mbeleni na watu walio nyuma yake wanaitia shaka.....
Kila kitu anachofanya anatumia pesa zake binafsi kuhakikisha kinapata media coverage kwenye magazeti yote ...tv na REDIO tena in altenate days...yaani unakuta event moja picha zinatoka kuanzia jumatatu hadi jumatatu....he makes sure everyday he makes a news.....nadhani huyu angefaa kupangiwa wizara inayohusika na maisha ya kila siku ya watu kama ...mambo ya ndani au pale kwa Nchimbi..pangemfaa maana hangehitaji PR consultant kuhakikisha kuwa ana make headlines......
Lakini lazima mjuwe kuwa kila waziri ana afisa habari wake na kila mmoja anajitahidi kujitangaza kisiasa.....ila huyu na wenzake wachache tofauti na wengine anatumia hadi waandishi binaafsi kufanya coverage kwenye event zake.....
He is not that bad buddy...ila malengo yake ya mbeleni na watu walio nyuma yake wanaitia shaka.....
Kila kitu anachofanya anatumia pesa zake binafsi kuhakikisha kinapata media coverage kwenye magazeti yote ...tv na REDIO tena in altenate days...yaani unakuta event moja picha zinatoka kuanzia jumatatu hadi jumatatu....he makes sure everyday he makes a news.....nadhani huyu angefaa kupangiwa wizara inayohusika na maisha ya kila siku ya watu kama ...mambo ya ndani au pale kwa Nchimbi..pangemfaa maana hangehitaji PR consultant kuhakikisha kuwa ana make headlines......
Lakini lazima mjuwe kuwa kila waziri ana afisa habari wake na kila mmoja anajitahidi kujitangaza kisiasa.....ila huyu na wenzake wachache tofauti na wengine anatumia hadi waandishi binaafsi kufanya coverage kwenye event zake.....