Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Wangekuwa wamekubali ushauri wa kumpeleka Muhimbili National Hospital, angalikuwa yuko South Africa au India long time ago. Madaktari wa Nairobi Hospital huwezi kuwapelekesha kutoa rufaa ya kutibiwa sehemu nyingine kama tulivyozoea kuwapelekesha madaktari wetu wa Muhimbili hata kwa magonjwa ya mafua. Kuwaomba madaktari kutoa rufaa ya kutibiwa sehemu nyingine, ni dharau kubwa kwa madaktari hao wanaokutibu. Ni kuonyesha kuwa hauna imani nao sana ukilinganisha na wa kule unakotaka mgonjwa wampeleke. Na mara nyingi huwa huwajui kwa kina uwezo wa hao madaktari unaotaka uwapelekee mgonjwa wako. Wakati mwingine hao madaktari unaotaka uwapelekee mgonjwa wako ni wanafunzi wa hawa madaktari unaotaka kuwaacha.Nimeshangaa kwa kweli.Chadema mnataka Lissu Afe ?Hainiingii akilini kuwa maDr wa Nairobi wakatae kuandika ruhusa ya kupelekwa Marekani.Kuna kitu hapa tunafichwa.Halafu bado Chadema mnaendelea kuomba michango.Hivi ruzuku zinafanya kazi gani?Jamani eeeeh Africa ni Africa tu tena East Africa Nairobi bora hata ingekuwa South.Lissu anahitaji matibabu nje ya Africa please.
Tatizo kubwa la wanasiasa wetu ni kuingilia maamuzi hata ya professions. Wanajiona kuwa wao ndiyo wajuaji wa mambo yote na kuongea maneno kama ' Critical but stable' maneno ambayo professionally they don't make any sense. Your life cannot be in a critical state (at the edge of losing it) while at the same time be in a stable state (no chance of losing it)!