Kura za maoni za nin?Samahani sana sana watu wa Singida, sikuwahi kujua kuwa Singida wako vizuri! I am very sorry niliwashusha hadhi...dah
Ubunge huo, lazima aingie bungeniKura za maoni za nin?
Lastly alikuwa amepimp magari kama mgombea urais CHADEMA.
Amekatwa na kupitishwa lissu.
Amerudi kwenye ubunge au? View attachment 1533236
UbungeKura za maoni za nin?
Lastly alikuwa amepimp magari kama mgombea urais CHADEMA.
Amekatwa na kupitishwa lissu.
Amerudi kwenye ubunge au? View attachment 1533236
KweliMadaraka matamu sanaa.
Hajakatwa! Zilipigwa kura, basi akapata kidogo au vipi amu ? Nieleweshe, naona umeweka super market!Amekatwa na kupitishwa lissu.
Hapo palikuwa njia panda ya Moshi. Nilikuta mabus mawili yamepimpiwa NYALANDU 2020 mgombea wa urais CHADEMA.Kipindi hiko Lissu alikuwa hajarudi.Hajakatwa! Zilipigwa kura, basi akapata kidogo au vipi amu ? Nieleweshe, naona umeweka super market!
Huo ndo size yake kwa sasa.Ubunge
Hivi hili sio pandikizi la Lowassa kweli
technico hizoKura za maoni za nin?
Lastly alikuwa amepimp magari kama mgombea urais CHADEMA.
Amekatwa na kupitishwa lissu.
Amerudi kwenye ubunge au? View attachment 1533236
Hongera Kamanda Nyalandu kwa ushindi huu mkubwa