Lazaro Nyalandu Amepotea? Alitegemea nini kuwa mpinzani?

Peace of mind, hii sizonje ameikosa, na ndio kila siku anafuta kiki akizani ataipata kupitia kiki.
 
Kuna haja ya kumchunguza Mwenyechama kuhusu Nyalandu. Aliamua kususia, ukimuangalia kwa mbali kama Mwenyechama amenufaika katika maamuzi ya kususia. Achunguzwe tu, hakika mtabaini Ninachokizungumzia. Nyalandu amekereka lakini hakuwa na jinsi.
 
Bila shaka tunaofuatilia siasa tunamjua vizuri Nyalandu. Nyalandu alipoamua kuachana na CCM, wengi waliona CCM imepoteza bonge la mwanasiasa. Hivyo hivyo, CHADEMA walimpokea kwa bashasha sana wakijua wamelamba dume.

Sijajua nini ulikuwa msukumo wa Nyalandu kuachana na CCM. Ukimwangalia Nyalandu kwa ndani si mwanasiasa kabisa na hawezi fanya siasa za jukwani.

Pamoja na kuamua kuachana na CCM, Nyalandu alikuwa na tumaini kubwa sana la kurudi Bungeni kwa njia nyingine, yaani kupitia Upinzani.

Baada ya CHADEMA kuanza kususia chaguzi zinazoendelea kwa sasa bila sahaka amegundua kuwa maamuzi na tumaini kale halitafikiwa na alijidanganya.

Kwan ninavyomjua Nyalandu, siasa zake ndo zimefika kikomo. Hatutamuona tena kwenye jukwa la siasa kwa maana hata akirudi kugombea 2020, hatashinda ubunge.

Wengine walisema amejiandaa kwenda kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA!!! Pengine kitu cha kujua ni kuwa Nyalandu hana ushawishi na hawezi kufanya siasa za ushawishi kama tunavyowajua wanasiasa.

Kwa hapa nasema, KWA KHERI NYALANDU.


Kwani kwenye maelezo yake wakati anatoka CCM nakuomba kujiunga na Chadema aliomba awe na mgombea ubunge? Yeye aliomba uanachama hakusema anajiunga na Chadema nafikiri umeona tofauti, kwamaana hiyo Chadema wangeweza kumkataa bado asingekuwa mgombea pia.

Jambo lapili kuwa mwanasiasi mzuri sio lazima kuwa muongeaji sana. Mwanasiasa mzuri nitule mtekelezaji wa yale aliohaidi na kuyasimamia yale aliosema. Kulikuwa kuna mbunge wa Karagwe marehemu Pharesi Kabuye alikuwa mkimya sana na hata akisimama bungeni akiwa anachangia hoja huwezi kumuona anatikisa hata mkono lakini alikuwa mwanasiasa mzuri tu.

Siasa ni mchezo kama ilivyo michezo mingine hivyo kila mwanasiasa anajua achangevipi karata zake, pia kuna kitu kinaitwa dhamira , mtu anaweza kufanya kitu kulingana na dhamira yake.
 
huyu jamaa si huwa anatupiga fix eti ni CIA agent kisa tu ameishi marekani?
 
Usitegemee kumwona nyalandu hovyo hovyo kwny siasa.
Pambana na hali yako.

Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana. Taifa limegawanyika kabisa
 
Bila shaka tunaofuatilia siasa tunamjua vizuri Nyalandu. Nyalandu alipoamua kuachana na CCM, wengi waliona CCM imepoteza bonge la mwanasiasa. Hivyo hivyo, CHADEMA walimpokea kwa bashasha sana wakijua wamelamba dume.

Sijajua nini ulikuwa msukumo wa Nyalandu kuachana na CCM. Ukimwangalia Nyalandu kwa ndani si mwanasiasa kabisa na hawezi fanya siasa za jukwani.

Pamoja na kuamua kuachana na CCM, Nyalandu alikuwa na tumaini kubwa sana la kurudi Bungeni kwa njia nyingine, yaani kupitia Upinzani.

Baada ya CHADEMA kuanza kususia chaguzi zinazoendelea kwa sasa bila sahaka amegundua kuwa maamuzi na tumaini kale halitafikiwa na alijidanganya.

Kwan ninavyomjua Nyalandu, siasa zake ndo zimefika kikomo. Hatutamuona tena kwenye jukwa la siasa kwa maana hata akirudi kugombea 2020, hatashinda ubunge.

Wengine walisema amejiandaa kwenda kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA!!! Pengine kitu cha kujua ni kuwa Nyalandu hana ushawishi na hawezi kufanya siasa za ushawishi kama tunavyowajua wanasiasa.

Kwa hapa nasema, KWA KHERI NYALANDU.

Ni Kosa kubwa sana kwa Mwanaume aliye ' rijali ' kabisa kumkabidhi ' akili ' zake zote Mwanamke / Mkewe ili aziongoze na afanye atakavyo. Hata vitabu vya dini vinasema ' ishini nao kwa akili '. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Inamaanisha mke wake ndo alisababisha haya au ni utashi wake?

Funguka!!
Ni Kosa kubwa sana kwa Mwanaume aliye ' rijali ' kabisa kumkabidhi ' akili ' zake zote Mwanamke / Mkewe ili aziongoze na afanye atakavyo. Hata vitabu vya dini vinasema ' ishini nao kwa akili '. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Hizo si siasa sasa.

Mwanasiasa mzuri ni yule anayeweza kujieleza na pia kuwa na ushawishi.

Kitu ambacho Nyalandu anakosa sana. Nyalandu anatakiwa kutokea kwenye maeneo ya kanisani au msikitini kwa anavyonekana kuishi kimungu zaidi ya kisiasa.
Kwani kwenye maelezo yake wakati anatoka CCM nakuomba kujiunga na Chadema aliomba awe na mgombea ubunge? Yeye aliomba uanachama hakusema anajiunga na Chadema nafikiri umeona tofauti, kwamaana hiyo Chadema wangeweza kumkataa bado asingekuwa mgombea pia.

Jambo lapili kuwa mwanasiasi mzuri sio lazima kuwa muongeaji sana. Mwanasiasa mzuri nitule mtekelezaji wa yale aliohaidi na kuyasimamia yale aliosema. Kulikuwa kuna mbunge wa Karagwe marehemu Pharesi Kabuye alikuwa mkimya sana na hata akisimama bungeni akiwa anachangia hoja huwezi kumuona anatikisa hata mkono lakini alikuwa mwanasiasa mzuri tu.

Siasa ni mchezo kama ilivyo michezo mingine hivyo kila mwanasiasa anajua achangevipi karata zake, pia kuna kitu kinaitwa dhamira , mtu anaweza kufanya kitu kulingana na dhamira yake.
 
Hahaha angejiuzulu siasa wangemsumbua sana. Alipojiunga na chadema ilikuwa ni shield kwake, huoni wameshindwa kumgusa.
 
Back
Top Bottom