Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Wewe ni wapili wao?Wewe ni mmoja wapo?
Wewe ni wapili wao?Wewe ni mmoja wapo?
Hivi Magu aliamini au kuna alieamini kuwa angekuwa Raisi wa nchi hii?Ndugu zangu watanzania naomba kuuliza swali;
Hivi kuna mtu anaamini upinzani utashinda uchaguzi wa October?
Mbona hata hapa JF kuna nyuzi zilizotabiri Magufuli kuwa mgombea uraisi wa CCM ambaye kimsingi ndiye Rais wa Tanzania? Pascal MayallaHivi Magu aliamini au kuna alieamini kuwa angekuwa Raisi wa nchi hii?
Labda hata wakipewa nchi nayo wanaweza ibiwa.Ndio lakini ushindi wa wapinzani utaibwa kama kawaida na kupewa ccm.
Wagombea wa upinzani wenyewe wanajua hawatashinda ila sasa wafanyejeNdugu zangu watanzania naomba kuuliza swali;
Hivi kuna mtu anaamini upinzani utashinda uchaguzi wa October?
Hahahaaa faziliNdio lakini ushindi wa wapinzani utaibwa kama kawaida na kupewa ccm.
Sijaongelea Uzuri au Ubaya , mimi nimeongelea utayari na kujiandaaUnaweza kusema mgombea X ni mzuri wakati huo huo unasema hawaoneshi mipango mkakati ?
Je , huo uzuri walionao ni uzuri wa sura au uzuri wa sauti ?
NimekuelewaDuh...
P
Vibendera wanaa Amini hivyoNdugu zangu watanzania naomba kuuliza swali;
Hivi kuna mtu anaamini upinzani utashinda uchaguzi wa October?
Nchi inaibwa zaidi ikiwa mikononi mwa ccm kama tunavyoona miradi ya hovyo, SGR ya njia moja karne ya 21?! Vidaraja vidogo vidogo katikati ya jiji kama Dar, daraja la km 3 likikatiza ziwani, hasara za ATCL zikifichwa, mchanga wa makinikia sasa unapelekwa nje rasmi kwa kibali cha jpm, repoti chafu zaidi ya CAG kuwahi kutolewa, deni la taifa kuzidi trilioni 50, kwa mara ya kwanza, n.k.Labda hata wakipewa nchi nayo wanaweza ibiwa.