Bundala Nyawa
Member
- Nov 2, 2017
- 80
- 48
Katiba ni Muongozo tu. Kuna nchi tena kubwa sana duniani hazina katiba bali zina sheria lakini zinafanya vizuri katika maendeleo , cha msingi ni uzalendo tu na kujituma kimisha.Binafsi sioni kama tatizo ni Nyalandu au mtanzania yeyote yule, shida hapa iko kwenye katiba yaani sheria mama haibainishi nini cha kufanya na nani, chukulia mfano tu rais akiingia madarakani ana unda baraza la mawaziri ni sawakuwa ni moja ya jukumu lake lkn kuna sheria inayo mtaka baraza liwe kubwa kiasi gani? au kunasheria inayo bainisha idadi ya mawaziri?
Sasa kama kila mtu akifanya vitu kwa utashi wake itakuja kutokea waziri wa aridhi akauza aridhi ya nchi yote. Kwani mikataba anaandaa waziri sijui na akina nani huko yaani vuruvuruuuu tu