Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,261
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini CCM, aliyejiuzulu Lazaro Nyalandu amefunguka na kukana kuwa katika Group la mtandao wa Kijamii WhatsApp na kusema kuwa hajawai kuwa kwenye Group hilo na kusema kuwa siasa za kuzushiana Mambo sio za kistaarabu na za kizamani.