HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
so J4MAYOKA was right all along
maswali ya msingi hajajibu:
je aligraduate huko alikokwenda kusoma USA?
Je alipewa GREEN CARD?
Je baada ya kupewa uwaziri aliirudisha hiyo Green card au la?
Je alikuwa pesa za kusomesha watoto 40,000 jimboni kwake mwezi uliopita au la?
Atuonyeshe audited accounts za hiyo charity yake
maswali ya msingi hajajibu:
je aligraduate huko alikokwenda kusoma USA?
Je alipewa GREEN CARD?
Je baada ya kupewa uwaziri aliirudisha hiyo Green card au la?
Je alikuwa pesa za kusomesha watoto 40,000 jimboni kwake mwezi uliopita au la?
Atuonyeshe audited accounts za hiyo charity yake