LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Jama! Hili la huyu wakili limetokomeaga wapi? Kwa anayejua atujuze wengine.
Lakin hawa interpol wanaingiaje kwenye hii kesi, ama ana international scandal?Anashikiliwa na polisi wa interpol, walifanya ukaguzi wa nguvu nyumbani kwake na walikuta shilingi milioni ishirini ndani ya gari lake, alipoulizwa pesa zote hizo anatembea nazo za nini, alisema hizo ni kwa ajili ya matumizi madogo madogo. Awali polisi wa interpol walidai kushangazwa jinsi alivyoweka US $ 30 million kwenye account yake kwa mkupuo mmoja.
big shameThis is a crying shame to the legal fraternity!..... huyu ni mmoja tu... wengine nao kaeni chonjo!