Lawyer Mwale ashikiliwa na polisi Arusha kwa wizi wa mabilioni serikalini

Uko sahihi kabisa Boss wangu yaani kila mahala wezi na matapeli wamejaa!Inatupasa tuchukue hatua dhidi ya hali hii
Du Bongo bana kila mtu mwizi ,lofa mwizi,msomi mwizi,tajiri mwizi,makanisani wizi,misikitini wizi ,mitaani wizi,serikalini wizi ,JESHINI ndio usiseme,polisi vivyo hivyo,mahakamani,balaa na bungeni loo ndio hakukamatiki kwa hao waheshimiwa sana kwa vi EPA ni nambari wani eeh na kule kwenye chama cha wavua magamba ndio loo kunatisha kama tsunami ,sasa nji hii ataiokoa nani ,nani atavaa viatu vya KAMBARAGE jamani ,wanafunzi wake nao ndio wamefungulia gavana,wanasheria ndio kabisaa kwa tamaa za utajiri na mikataba au hoja za hovyo .Ah navunjika moyo kila mtu anaiba kuiba.Nakumbuka school mate waiwili ni wanasheria ni matajiri wa kutisha kwa ajili ya kujihusisha na dili za EPA ,cha ajabu hizo dili zinawaumiza wabongo wenzao wakati wenyewe wako majuu wakijipumzisha wakila bata kiulaini
<br />
<br />
 
Update za Mwale? Kuna jambo lolote la maana limetokea kwa kuipa serekali ushindi na heshima?
 
Huyu jamaa ana mengi yanayomsibu, ndiye mtetezi mkubwa wa majambazi yanayokuja kutumvamia hapa nchini kutokea kenya, ana skendo kubwa huko moshi kuhusu malipo ya halmashauri moja ambapo alikula mamilioni ya shilingi, ila moja kubwa anakula na baadhi ya waandishi wa habari haswa wa huki moshi ambao wanamfichia siri zake, waandishi hao ndiyo wanampa siri kutoka jeshi la polisi. polisi wanawaamini sana hao wanahabari na kuwapa siri na kisha wanampelekea bila polisi kujua hivyo kwuazidi kwenye kesi. hivi leo tu kuna wanahabari wanahaha kushughulika na wale wanatafuta njia za kumuwekea dhamana. niko iringa nitaingia a town kuwajuza zaidi.
 


Wajua nashindwa kabisa waelewa wasomi wa siku hizi ................ huyo Mawalla ni mtu wa ajabu sana Mnakumbuka Yule kijana kule Bunda Mgumu kama sijakosea Gurumeti Reserv walimkamata mtoto wa darasa la 3 waka mweka ndani kisa kuchungia ng'ombe katika eneo hilo kweli mahaka ikaridhia hadi mkuu wa wilaya akaomba mahakama imtoe huyo mtoto na Mawalla kama wakili wa hiyo Gurumet Resrv akawa ame piga kimya ati naye ni Mtanzania wa nchi hii au mchaga ni mchaga tu ana angalia pesa

Mkuu hapo penye red umekuwa too general na hii sio sahihi. Hivi tukianza kuwachambua Adv Mkono (EPA), Chenge, Rostam, Lowassa, Mkapa etc na wenzie kwa makabila yao tutafika kweli. Hawa wote wametanguliza pesa na kuacha watu wanafia mahospitalini etc. Point uliyoisema inaeleweka lakini hapo penye red umeenda overboard. Hii hatuwezi kutofautisha na kumchambua mtu kutokana na dini, gender etc.
 
Nimesoma kwenye gazeti la Nipashe la leo ingawa hajaandikwa jina lake kwamba, wakati anakamatwa alikutwa akiwa na shilingi 20 milioni kwenye gari lake. Alipoulizwa kwanini anatembea na kiasi kikubwa cha hela kwenye gari akajibu "ni kwa ajili ya matumizi madogo madogo". Kweli watu wanaishi maisha tofauti sana ndani ya Tanzania hii hii wengine sh laki moja wanajitutumia imalize mwezi.
 


Wajua nashindwa kabisa waelewa wasomi wa siku hizi huko mbeleni wataikimbia hii nchi wanasheria wamekuwa ndio wa kwanza kupindisha sheria kujinufaisha wao na kufirisi nchi hii kwa kuuza na kubarki mikataba mingi huku wakijua itakuja leta issues huko baadae na sasa ndio haya yaja. Huko Burka(wakubwa walijikatia mapande na kuwadhurumu wananchi wazawa walio changishwa pesa kwa ajili ya kupima maeneno na wakaingizwa mjini) nasikia ilikuwa ni issue na amejijengea Law Firm yake huko na wanasheria wengi wamemkibia pia navyosikia coz anapenda sana kutukuzwa mtu Kichwa ka Albert, Mroso wote walimkimbia huyo Mawalla ni mtu wa ajabu sana Mnakumbuka Yule kijana kule Bunda Mgumu kama sijakosea Gurumeti Reserv walimkamata mtoto wa darasa la 3 waka mweka ndani kisa kuchungia ng'ombe katika eneo hilo kweli mahaka ikaridhia hadi mkuu wa wilaya akaomba mahakama imtoe huyo mtoto na Mawalla kama wakili wa hiyo Gurumet Resrv akawa ame piga kimya ati naye ni Mtanzania wa nchi hii au mchaga ni mchaga tu ana angalia pesa hata kwa hili la mtoto aliwekwa ndani ila turishukuru juhudi za serikali mtoto yule aliachiwa huru na akaendelea na masomo ila alionja jela, hayo yote machu yatawakuta wanasheria wote wasio angalia mali ya watanzania ndio yale yale ya Vitalu vya kuwindia ni kero tupu

Ndo maana wakalaaniwa na kuwa na brother wake punga aka bwaba!
 
Anashikiliwa na polisi wa interpol, walifanya ukaguzi wa nguvu nyumbani kwake na walikuta shilingi milioni ishirini ndani ya gari lake, alipoulizwa pesa zote hizo anatembea nazo za nini, alisema hizo ni kwa ajili ya matumizi madogo madogo. Awali polisi wa interpol walidai kushangazwa jinsi alivyoweka US $ 30 million kwenye account yake kwa mkupuo mmoja.
 
Hata mimi nilivyosoma hiyo taarifa kwenye chombo kimoja cha habari basi nilipatwa mshangao kweli TZ tambarare! Shlingi milioni 20 ni chenji tu 'vijisenti' kwa ajili ya weekend. Chenge ana wenzake ambao wamemzidi kete. Bilioni 30 kwa kazi gani hiyo ikaingia kwenye account kwa mkupuo mmoja?
 
Hela za Al Shabab - Somalia. Probably money laundering of pirates ransoms from hijacking ships.
 
Forget about cyberspace rumorvilles.

The fact that this whole thing was a hoax, and so many reputable news organisations went along with it with no scrutiny, points to the fact that so many other questionable but hard to pinpoint researches are being pushed in the legitimate halls of academia.
 
Watu wanawezaje kupata fedha za kuendeshea wizara katika account zao?
 
Huyu Hakimu Mwale juzi juzi alikuwa involve kwenye maswala ya mgogoro wa kanisala la Kianglikani Arusha, ambapo alikuwa akitetea kutosimikwa askofu mpya kwa sababu za kugushi cheti cha kumaliza form 4. Alionekana kama mtetezi wa waumini na kupinga maovu na ufisadi wa kidini. Kumbe na yeye ni mmoja wa wale wenye kuukandamiza umma wa watanzania. That money might have been intended kujenga dispensaries or kuwafundisha wauguzi ambao wangetulelea watoto wetu na kuzuia vifyo vingi. Balaa....
 
" The fact that this whole thing was a hoax "

What was a hoax ??? The guy is in the cooler amd you have even gone to see him cause you know you will be thrown in as well.
This issue is with the Interpol and is no laughing matter - so get serious and dont think you csn fool anyone that it is a hoax as yr learned brother is in big s.h.i.t
 
Ndani ya dk 20 nikiwa Dodoma road hapa Ngarenaro nimeshuhudia kwa macho yangu magari ya Magereza Landcruiser 2 na Landrover 1 ikiwa ktk msafara ya kuwasha taa ikiashiria hali ya hatari na ndipo iliponifikia ndipo nikagundua aliyekuwa anakimbizwa gerezani si mwingine zaidi ya yule aliyekuwa wakili wa kujitegemea Mwale na hbr nilizopata ni kwamba tangu ile hajawahi achiwa kwani mbali na 2huma ya kuwa na mapesa kibao kwenye account yake pia anahusishwa na mtandao wa Alshabaab. Na habari cnasema yuko mkononi mwa Interpo
 
Back
Top Bottom