mkandarasi
Member
- Sep 16, 2010
- 22
- 11
Wadau nimepata habari mwanasheria Mwale maarufu sana mikoa ya Arusha na Kilimanjaro kwa kesi za robbery anashikiliwa na polisi mkoani Arusha kwa siku ya tatu leo bila dhamana akihojiwa na maafisa kutoka Dar es salaam kwa tuhuma za wizi wa fedha za wizara ya afya zaidi ya bilioni sita. Ninaambiwa pia kuwa leo IGP Said Mwema nae yuko kituo cha polisi Arusha kwa ajili hiyo. Jamani mwenye kuweza kutupa data zaidi, tujuze tafadhali