Lawrence Masha - Mfano wa Ulevi wa Madaraka. Ajitangaza mshindi Nyamagana!

Deodat

JF-Expert Member
Sep 18, 2008
1,274
272
Baba! Baba! Nafikiri leo ukiyakumbuka maneno yako, unajuuuuta kumfahamu Wenje! ha ha ha ha ha ha!



Mafisadi! Piga chini! Wezi! Piga chini! Majambazi! Piga chini! Wachakachuaji! Piga chini!

Wera weraaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Huyu bwana anasema amepita bila kupingwa kumbe ilikuwa danganya toto. Cha moto amekiona na nadhani hatarudia tena. Ulikuwa ubunge wake wa kwanza na wa mwisho!! Hahahahahahahahahahahahaha. Huyu jamaa baba yake alikuwa UDP na acyually huyo mzee walikuwa ndiyo waasisis wa mageuzi ya vyama vya siasa kanda ya ziwa. Mtoto tunasikia ghafla akaibukia CCM. Nadhani amekiona cha mtema kuni!!
 
Huko aliko anajinyea kama siyo kujikojolea FISADI, mwanaharamu. Alimega mke wangu, mwacheni tu na bado. Ngoja kesi za ufisadi zifunguliwe bungeni atakiona cha moto
 
Baba! Baba! Nafikiri leo ukiyakumbuka maneno yako, unajuuuuta kumfahamu Wenje! ha ha ha ha ha ha!

YouTube - Nyamagana MP Lawrence Masha speaks (MichuziBlog)

Mafisadi! Piga chini! Wezi! Piga chini! Majambazi! Piga chini! Wachakachuaji! Piga chini!

Wera weraaaaaa!
THis You tube video clip will remain as a monument in the history of those irresponsible people who were given positions of trust and used them to please their boss regardless of the wananchi priorities..mbunge kijana mpuuzi kabisa kuwahi kutokea Tanzania, mwenye fitina na mlafi wa mali ya umma
 
hapo halipo leo akiiona hii video anabwabwaja machozi. Its a classic and a lesson to all CCM leaders who thought they will rule us to the end of time. "Its a new day, its a beautiful day".
 
Huko aliko anajinyea kama siyo kujikojolea FISADI, mwanaharamu. Alimega mke wangu, mwacheni tu na bado. Ngoja kesi za ufisadi zifunguliwe bungeni atakiona cha moto
halafu ukamwacha aende zake????
tuuzie kesi hiyo kaka tuhangaike naye
 
This is a classic one; huwa naangalia viongozi wanaowatumia wananchi kwa ubinafsi wao, deep down in my heart huwa nawahurumia sana na kusema MWOGOPENI MUNGU. Kilichotokea kwa Masha kitakuwa fundisho kwa wengi.

Jana nilikuwa naangalia matokeo rasmi ameshindwa kwa tofauti ya takribani kura elfu 10, this is very serious ukilinganisha na mbunge wa CCM shinyanga aliyemshinda wa chadema kwa tofauti ya kura 204 tu.

MUNGU WETU AENDELEE KUTUPIGANIA WAPENDA MAGEUZI ILI HAKI ITENDEKE
 
HAHAHAHAHAHAHAA! Aaaaaaaha HAHAHAHAHAH! Sijawahi kucheka kwa furaha kama nilipoangalia hiyo video clip. Hahahahahah! Hihihihi!!
 
Huko aliko anajinyea kama siyo kujikojolea FISADI, mwanaharamu. Alimega mke wangu, mwacheni tu na bado. Ngoja kesi za ufisadi zifunguliwe bungeni atakiona cha moto

Huyu hapo ndo mashaka na JK wanamega pamoja
simba.jpg
 
Jamani jamani, ya kweli haya!kazi ipo bungeni mwaka huu, i wish i'd be there!
 
Unbelievable! wow TANZANIA, Mungu tusamehe sana na usikumbuke maovu yetu
 
this is a classion one; huwa naangalia viongozi wanaowatumia wananchi kwa ubinafsi wao, deep down in my heart huwa nawahurumia sana na kusema mwogopeni mungu. Kilichotokea kwa masha kitakuwa fundisho kwa wengi.

Jana nilikuwa naangalia matokeo rasmi ameshindwa kwa tofauti ya takribani kura elfu 10, this is very serious ukilinganisha na mbunge wa ccm shinyanga aliyemshinda wa chadema kwa tofauti ya kura 204 tu.

Mungu wetu aendelee kutupigania wapenda mageuzi ili haki itendeke


nasema hao walotangaza shy ccm imeshinda ni maharamia,, tume iliwatagazia wananchi wa shy kuwa chadema imeshinda then tbc wakasema ccm imeshinda eti tume ilitangaza ili watawanyike.nasema kumamae waache kuwafanya watanzania ni kuku wa kisasa(bloilaz) tena waache upuuzi wa kijinga. Na machafuko yoote yaliyotokea na yatakayotokea shy atakae wajibika ni msimamizi wa tume kwa kutangaza ujinga na kutumika kisiasa..i say they have to pay 4 it. Shy komaeni nao hata kama watawauwa mtakumbukwa kwa kutetea haki za wengi
 
nasema hao walotangaza shy ccm imeshinda ni maharamia,, tume iliwatagazia wananchi wa shy kuwa chadema imeshinda then tbc wakasema ccm imeshinda eti tume ilitangaza ili watawanyike.nasema kumamae waache kuwafanya watanzania ni kuku wa kisasa(bloilaz) tena waache upuuzi wa kijinga. Na machafuko yoote yaliyotokea na yatakayotokea shy atakae wajibika ni msimamizi wa tume kwa kutangaza ujinga na kutumika kisiasa..i say they have to pay 4 it. Shy komaeni nao hata kama watawauwa mtakumbukwa kwa kutetea haki za wengi

Huu ni upuuzi wa hali ya juu na kucheza na haki za wananchi, huyo msimamizi anastahili viboko!
 
Huyu hapo ndo mashaka na JK wanamega pamoja
simba.jpg

Heeh! kumbe ndio kinachomweka mjini......okay! I can connect a few dots! ndio maana aliwaasa akina mama wawanyime waume zao unyumba kama hawaisapoti CCM...kwa vile anaamini hiyo ni silaa kubwa sana....poor YOU, mwanamke ni zaidi ya "K".
 
THis You tube video clip will remain as a monument in the history of those irresponsible people who were given positions of trust and used them to please their boss regardless of the wananchi priorities..mbunge kijana mpuuzi kabisa kuwahi kutokea Tanzania, mwenye fitina na mlafi wa mali ya umma

Halafu huyo ndio unaambiwa alikuwa mmoja kati ya wale mawaziri 5 ambao JK alikuwa anawaona mashine kali, ha ha ha ha! Yaani hapo Wenje kaua ndege wawili kwa jiwe moja, JK na Masha wake..........ha ha ha ha! Deep Green Finance........EPA.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom