ChingaMzalendo
Senior Member
- Nov 9, 2008
- 192
- 3
Katika hali ya kutatanisha, kuna tetesi kutoka makao makuu ya NEC yanayohashiria kwamba, Hawa jamaa wamepita, lakini bado hawajatangaza rasmi, hebu wenye taarifa kamili watumwagie. Hii itakuwa ni tatizo kubwa