NGolo Kante
Member
- Feb 28, 2017
- 80
- 131
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Kego Masha atangaza Kujivua Uanachama wa CHADEMA.
- Adai upinzani hauna nia ya kutafuta fursa ya kuunda Serikali
- Adai upinzani hauna nia ya kutafuta fursa ya kuunda Serikali