The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,946
hahahahahhahahahaha.Kwani uongo hapendelei...abwage manyanga..so far amefanya jambo jema..haki ya kikatibaAtakuwa kachukia matamshi ya kuudhi ya Mbowe na chadema ya kusimanga watu wa kanda ya ziwa kuwa wanapendelewa na Magufuli.yeye kama MTU wa kanda ya ziwa kaamua kuwabwagia lichama lao
Good for him