Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
- Thread starter
- #41
Inadaiwa ni gazeti la Daily News.Hilo gazeti halina wahariri?!
Anyway naona hapo chini kwa maandishi ya mkono ni gazeti lao wenyewe.
Inadaiwa ni gazeti la Daily News.Hilo gazeti halina wahariri?!
Anyway naona hapo chini kwa maandishi ya mkono ni gazeti lao wenyewe.
yale yale ya mkalimaniView attachment 1738012
Katika bango lao kwenye gazeti STAMICO wameandika wanasikitika juu ya kifo cha Mh. Rais.
Nani anaitumia hii taasisi katika kuleta mtafaruku kiasi hiki
Kiingereza kilikuja na Meli wadau ,tuwasamehe hawakuwa na nia ya kuleta taharuki.View attachment 1738012
Katika bango lao kwenye gazeti STAMICO wameandika wanasikitika juu ya kifo cha Mh. Rais.
Nani anaitumia hii taasisi katika kuleta mtafaruku kiasi hiki
Nia siyo mbaya lakini ni uzembe wa hali ya juu sana sana. Kuanzia kwa mwandikaji, mchapaji na mhakiki kosa la wazi kama hili halikuonekana? Lakini haishangazi sana kwa sababu watanzania wengi sana utamaduni wetu ni uzembe na kutokuwa makini kwa mambo yote, labda kuiba tu. Kuandika ndiyo kabisaaa. Ukimsahihisha mtu anakutukuna.Sidhani kama walikua wana nia mbaya...wahariri hawakufanya kazi yao ipasavyo
Acha kiwewe! Ni makosa ya kawaida hayo kama yapo. That is not an issue.View attachment 1738012
Katika bango lao kwenye gazeti STAMICO wameandika wanasikitika juu ya kifo cha Mh. Rais.
Nani anaitumia hii taasisi katika kuleta mtafaruku kiasi hiki
Haaaaa kweli eti in mourning of his excellence president Samia suluhu
Habari za leo . Kuna tangazo lililokosewa linazunguka kwenye mitandao. Kimsingi Gazeti la Daily News ndo wamekosea na siyo STAMICO. Sisi tuliwatumia tangazo sahihi. Tumeshawaandikia na wamekiri na kesho wataomba radhi kwenye Public. Tunaomba mtusaidie kutoa ufafanuzi huo kwenye magroup yenu.
AJSANTENI.
We dogo acha kushinda kwenye mitandao, ni-pm nikuunganishie ajiraYaani nilipoiona tu hiyo habari nilishikwa na gadhabu sana hawa waandishi wa hili kampuni ni wapumbavu na wajinga sana wanatoa vipi habari ambayo haijahaririwa?? kama wana lengo baya juu Mama yetu samia wakome na washindwe kabisa au kigazeti chenyewe ni cha Magufuli nini??
Makosa kama hayo ni ya kizembe! Hivyo Wahusika wote wanastahili kabisa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria za kazi na utumishi.Hayo ni makosa tu ya kiuandishi, mama hawezi kukasirika ingekuwa Meko wangesha chukuliwa hatua kitambo sana