Lawama katika ndoa wanaume tunaongoza mitandaoni, wanawake wanaongoza uraiani

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Jan 12, 2017
4,824
5,560
Nimefanya utafiti mkubwa kwa kipindi cha week moja nimegundua aya mambo yafuatayo .

Ukipita mitandaoni utagundua asilimia kubwa ya lawama dhidi ya mapenzi na ndoa utaona wanaume ndo wanaongoza kuwalaumu na kuwatuhumu wanawake katika mambo mengi.

Ila ukija katika jamii yetu namaanisha yale maisha halisi utakuta wanawake ndo wanawalaumu wanawake kuumia na kuteswa sana.

Eti jamani ni kwanini wanaume tuongoze kwa lawama mitandaoni na katika Marsha ya kawaida sisi ndo wabaya?
 
Mwanamke huongea mara mbili kuliko mwanaume kwa siku,hii huonyesha kuwa mwanamke ni muongeaji sana, huwezi kujiongelesha kimya kimya lazima umshirikishe mwenzako ndio maana wanawake huwasimulia sana wenzao masaibu yanayowakuta,wanaume ni wakimya kuliko wanawake na mahala pekee mtu mkimya anaweza kutoa mawazo yake bila wasiwasi ni mtandaoni,hii yaweza kuwa sababu mojawapo.
 
17587285_1818551871802252_298297921227456512_n.jpg
 
Haaaa wale ni kama wameunga kifurushi cha hakichachi kila tukio likitokea hata la mtaa wa saba wanalo,ni zaidi ya google hao
Kuna ukweli asee, hasa ukute wale ambao wapowapo tu bila ya kuwa na shughuli ya maana kitaa.
 
Back
Top Bottom