Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Habari za jumapili mabibi na mabwana.....
Ningependa leo tujadiliane kuhusu LAWAMA hasa kutoka kwa wanawake. Kwa mfano, mmeo/boyfriend wako anapenda uwe unamjulisha ratiba zako. Ukitoka kazini au kwenye biashara zako utapitia wapi mpaka unapofika nyumbani lakini kwake yeye ni kinyume haweki wazi ratiba zake. Unaweza ukampigia simu kumuuliza yu wapi kwa wakati huo yeye akakujibu nipo kwenye kikao cha harusi (achilia mbali vikao vya kikazi au kibiashara hapa havihuasini) lakini hakukujulisha. Wewe mwanamke unaanza kulaumu ooh mbona hukuniambia kitambo mbona mimi hutoa ratiba zangu hata za salon?
Wanaume mnawachukuliaje wanawake wenye kulaumu kila wakati? Je ni sawa?
Wanawake je mnahandle vipi situation kama hii ya kulaumu laumu?
Karibuni kwa mjadala.
Ningependa leo tujadiliane kuhusu LAWAMA hasa kutoka kwa wanawake. Kwa mfano, mmeo/boyfriend wako anapenda uwe unamjulisha ratiba zako. Ukitoka kazini au kwenye biashara zako utapitia wapi mpaka unapofika nyumbani lakini kwake yeye ni kinyume haweki wazi ratiba zake. Unaweza ukampigia simu kumuuliza yu wapi kwa wakati huo yeye akakujibu nipo kwenye kikao cha harusi (achilia mbali vikao vya kikazi au kibiashara hapa havihuasini) lakini hakukujulisha. Wewe mwanamke unaanza kulaumu ooh mbona hukuniambia kitambo mbona mimi hutoa ratiba zangu hata za salon?
Wanaume mnawachukuliaje wanawake wenye kulaumu kila wakati? Je ni sawa?
Wanawake je mnahandle vipi situation kama hii ya kulaumu laumu?
Karibuni kwa mjadala.