Law School of TZ..300 kuwa mawakili

Kama ni hivyo CJ atoe msimamo unaoeleweka maana kuna watu wanafanya kazi Serikalini huku ni Mawakili wa Kujitegemea ili waachie ngazi ya Uwakili huo au kazi Serikalini!

Hizi ni lawama zisizo na msingi kwa CJ,hao wafanyakazi wa serikali walipewa circular inayowataka kuresign kazi kama wanataka kuapishwa kuwa advocates lakini wao wakapuuzia na kufanya registration zao high court bila kuresign kazi,logically huwezi kuwa upande wa republic and at the same time represent the client,lazima itokee conflict of interest and automatically utakuwa ume prejudice rights za upande mmoja,ushauri ni kuwa kama wanataka kufanya private practice then waresign post zao na kuapishwa ili wapishe nafasi za state attorney wazi coz kuna wa2 wanatafuta hata kuwa state attorney wanakosa sasa iweje m2 mmoja awe na position mbili,chagueni moja learned brothers and sisters!
 
Hizi ni lawama zisizo na msingi kwa CJ,hao wafanyakazi wa serikali walipewa circular inayowataka kuresign kazi kama wanataka kuapishwa kuwa advocates lakini wao wakapuuzia na kufanya registration zao high court bila kuresign kazi,logically huwezi kuwa upande wa republic and at the same time represent the client,lazima itokee conflict of interest and automatically utakuwa ume prejudice rights za upande mmoja,ushauri ni kuwa kama wanataka kufanya private practice then waresign post zao na kuapishwa ili wapishe nafasi za state attorney wazi coz kuna wa2 wanatafuta hata kuwa state attorney wanakosa sasa iweje m2 mmoja awe na position mbili,chagueni moja learned brothers and sisters!

Point...

Mi nilitazama la conflict of interest pekee lakini hata hilo la nafasi ya kazi ni la muhimu.
Asante kwa mwanga zaidi learned brother!
na wapo walio resign na wameapishwa!
 
Hizi ni lawama zisizo na msingi kwa CJ,hao wafanyakazi wa serikali walipewa circular inayowataka kuresign kazi kama wanataka kuapishwa kuwa advocates lakini wao wakapuuzia na kufanya registration zao high court bila kuresign kazi,logically huwezi kuwa upande wa republic and at the same time represent the client,lazima itokee conflict of interest and automatically utakuwa ume prejudice rights za upande mmoja,ushauri ni kuwa kama wanataka kufanya private practice then waresign post zao na kuapishwa ili wapishe nafasi za state attorney wazi coz kuna wa2 wanatafuta hata kuwa state attorney wanakosa sasa iweje m2 mmoja awe na position mbili,chagueni moja learned brothers and sisters!

Hiyo Circular ilitolewa na nani na ni lini, Ni circular namba ngapi by the way? Usitafute kulaumu kabla ya kutoa elimu halafu hiyo elimu watu wakaikataa! Na kama hiyo Circular ilikuwepo kwa nini CJ alifanya interview na Petitioners halafu asubuhi ya tarehe 17/12/2010 akiwa anataka kuwaapisha hao watumishi wa Serikali kuwa Mawakili ya Kujitegemea then kukatolewa maagizo ya Serikali kwamba asiwaapishe, ndipo akaahirisha/akaacha kuwaapisha? Sasa hapa kulikuwa na Circular kweli?
Na kama Serikali inataka Watumishi wake wasiwe Mawakili wa Kujitegemea kwa nini Ma-lectures ni Mawakili wa Kujitegemea?
Msitoe maelezo ya kiushabiki toeni hoja zinazo-cover kila sehemu, including wanasiasa ambao ni Mawakili wa Kujitegemea!
 
Hiyo Circular ilitolewa na nani na ni lini, Ni circular namba ngapi by the way? Usitafute kulaumu kabla ya kutoa elimu halafu hiyo elimu watu wakaikataa! Na kama hiyo Circular ilikuwepo kwa nini CJ alifanya interview na Petitioners halafu asubuhi ya tarehe 17/12/2010 akiwa anataka kuwaapisha hao watumishi wa Serikali kuwa Mawakili ya Kujitegemea then kukatolewa maagizo ya Serikali kwamba asiwaapishe, ndipo akaahirisha/akaacha kuwaapisha? Sasa hapa kulikuwa na Circular kweli?
Na kama Serikali inataka Watumishi wake wasiwe Mawakili wa Kujitegemea kwa nini Ma-lectures ni Mawakili wa Kujitegemea?
Msitoe maelezo ya kiushabiki toeni hoja zinazo-cover kila sehemu, including wanasiasa ambao ni Mawakili wa Kujitegemea!

Kaka naomba usome vizuri Advocates act,ina provision inayosema huwezi kuwa member of the bar na kuwa serikalini at the same time,circular ilitolewa kwenye ofisi za serikali kuhusu miongozo na sheria za kazi,CJ alipelekewa majina na yeye sio mhimili wa executive ili kuweza kujua yupi ni mfanyakazi wa serikali na yupi sio,ile list ya wanaotaka kuapishwa huwa inatolewa ili kwa mwenye pingamizi aseme ndipo ofisi ya AG na ofisi nyingine za serikali ziliweka pingamizi dhidi yao,hakuna hujuma dhidi yao ni kutekeleza sheria tu inavyosema.
 
Kaka naomba usome vizuri Advocates act,ina provision inayosema huwezi kuwa member of the bar na kuwa serikalini at the same time,circular ilitolewa kwenye ofisi za serikali kuhusu miongozo na sheria za kazi,CJ alipelekewa majina na yeye sio mhimili wa executive ili kuweza kujua yupi ni mfanyakazi wa serikali na yupi sio,ile list ya wanaotaka kuapishwa huwa inatolewa ili kwa mwenye pingamizi aseme ndipo ofisi ya AG na ofisi nyingine za serikali ziliweka pingamizi dhidi yao,hakuna hujuma dhidi yao ni kutekeleza sheria tu inavyosema.

Toa kifungu toka kwenye hiyo Advocates Act! Na hao ma-lecturers waliapishwa kabla ya hiyo Act? Naona mnakwepa kabisa kuzungumzia wale walioingia tayari ila walio nje ndio hasa wabaya wenu mnawatungia circular, right?
 
Kaka naomba utafute Minute 7 of 10 january 1979,file number ADV/503 na Minute 2 of 10 january 1979,file number ADV/611,High court of Tanzania
Pia ukipata nafasi soma kitabu kinaitwa The Legal Profession in Tanzania:The Law and Practice,kimeandikwa na Judge Dr.Fauz Twaib,chapter 5 at page 197
natumaini baada ya kupitia hizo minutes na kitabu utapata logic ya kwanini wafanyakazi wa serikali hawakuapishwa tarehe 17/12/2010
 
Kaka naomba utafute Minute 7 of 10 january 1979,file number ADV/503 na Minute 2 of 10 january 1979,file number ADV/611,High court of Tanzania
Pia ukipata nafasi soma kitabu kinaitwa The Legal Profession in Tanzania:The Law and Practice,kimeandikwa na Judge Dr.Fauz Twaib,chapter 5 at page 197
natumaini baada ya kupitia hizo minutes na kitabu utapata logic ya kwanini wafanyakazi wa serikali hawakuapishwa tarehe 17/12/2010

Nashukuru kwa mchango wako! Sitaweza kusoma minute 1, 2 kwa kuwa sina access nazo, kama unaweza nifafanulie zinasemaje, hata hivyo nimesoma kitabu cha Dr Fauz kama ulivyonielekeza ambapo imedaiwa kwamba CJ hana objection na kuwaapisha watumishi wa serikali toka parastatal organizations (may be including Universities)! Thanks tena kwa maelezo na hizo authorities!
 
Am happy kuwa fani itapata ushindani[/QUOTE
waliosoma Economics watakumbuka Principles za Supply and Demand, Demand ya Advocates ipo kubwa ila market ipo? I don't think there is such a market, tutegemee lundo la mawakili watakaoishi kwa dhiki na kudhalilika wenyewe na taaluma yao,michezo michafu itazidi mahakamani ili wapate ujira zaidi. Suala si kuzalisha tu chakula je kuna walaji wanaomudu kununua chakula ukilinganisha na COST OF PRODUCTION? unless hao mawakili wafanye kazi hiyo kama msaada wa bureeee! There is no MARKET but there is a huge DEMAND!
 
Am happy kuwa fani itapata ushindani[/QUOTE
waliosoma Economics watakumbuka Principles za Supply and Demand, Demand ya Advocates ipo kubwa ila market ipo? I don't think there is such a market, tutegemee lundo la mawakili watakaoishi kwa dhiki na kudhalilika wenyewe na taaluma yao,michezo michafu itazidi mahakamani ili wapate ujira zaidi. Suala si kuzalisha tu chakula je kuna walaji wanaomudu kununua chakula ukilinganisha na COST OF PRODUCTION? unless hao mawakili wafanye kazi hiyo kama msaada wa bureeee! There is no MARKET but there is a huge DEMAND!

Unamaanisha kuwa demand ya mawakili ni ndogo kwa Tz? Mbona nasikia kuna mikoa haina wakili hata mmoja (sina uhakika ni Mkoa gani, anyway)?
 
Unamaanisha kuwa demand ya mawakili ni ndogo kwa Tz? Mbona nasikia kuna mikoa haina wakili hata mmoja (sina uhakika ni Mkoa gani, anyway)?

Anachomaanisha ni soko la kutumia huduma zao, mtazamo ambao hata mimi ninao. Binafsi sidhani kama watu wengi wana uwezo wa kununua huduma za hao mawakili. Ndo maana kasema unless hao jamaa wafanye kazi zao za uwakili pro bono. Bado hatujawa jamii iliyo litigious...
 
Hizi ni lawama zisizo na msingi kwa CJ,hao wafanyakazi wa serikali walipewa circular inayowataka kuresign kazi kama wanataka kuapishwa kuwa advocates lakini wao wakapuuzia na kufanya registration zao high court bila kuresign kazi,logically huwezi kuwa upande wa republic and at the same time represent the client,lazima itokee conflict of interest and automatically utakuwa ume prejudice rights za upande mmoja,ushauri ni kuwa kama wanataka kufanya private practice then waresign post zao na kuapishwa ili wapishe nafasi za state attorney wazi coz kuna wa2 wanatafuta hata kuwa state attorney wanakosa sasa iweje m2 mmoja awe na position mbili,chagueni moja learned brothers and sisters!

sasa nimeelewa, mimi nilifikiri wale jamaa walionewa kama kawaida ya bongo, kumbe wenyewe walichemka
 
Hiyo Circular ilitolewa na nani na ni lini, Ni circular namba ngapi by the way? Usitafute kulaumu kabla ya kutoa elimu halafu hiyo elimu watu wakaikataa! Na kama hiyo Circular ilikuwepo kwa nini CJ alifanya interview na Petitioners halafu asubuhi ya tarehe 17/12/2010 akiwa anataka kuwaapisha hao watumishi wa Serikali kuwa Mawakili ya Kujitegemea then kukatolewa maagizo ya Serikali kwamba asiwaapishe, ndipo akaahirisha/akaacha kuwaapisha? Sasa hapa kulikuwa na Circular kweli?
Na kama Serikali inataka Watumishi wake wasiwe Mawakili wa Kujitegemea kwa nini Ma-lectures ni Mawakili wa Kujitegemea?
Msitoe maelezo ya kiushabiki toeni hoja zinazo-cover kila sehemu, including wanasiasa ambao ni Mawakili wa Kujitegemea!

Bucha,

Kwani kuna tatizo gani Lecturer akiwa Wakili wa Kujitegemea? Hizi ni kazi ambazo hazikinzani. Tofauti na Wakili wa Serikali akiwa Wakili wa Kujitegemea anaweza kujikuta anatetea pande zote mbili zinazokinzana mahakamani.
 
Bucha,

Kwani kuna tatizo gani Lecturer akiwa Wakili wa Kujitegemea? Hizi ni kazi ambazo hazikinzani. Tofauti na Wakili wa Serikali akiwa Wakili wa Kujitegemea anaweza kujikuta anatetea pande zote mbili zinazokinzana mahakamani.

Baada ya mjadala huu nimeshapata picha ndugu, thanks!
 
Natumaini hawa watakuwa wanasheria wazuri waliopikwa wakapikika sitegemei nisikie miongoni mwao wanaunga mkono ufisadi, wanapinga kuwepo katiba, wanakataa mgombea binafsi,wanadulumu haki za watu,wanatetea mafisadi,wanapindisha sheria za nchi kwa maslahi binafsi, wanakosa uaminifu.
 
Demand ipo lakini few people can afford service hiyo, kuna mikoa nadhani Mtwara na Lindi au labda na Rukwa ndiyo haina wakili wa kujitegemea hata mmoja,na mawakili hawaendi mikoa hiyo kwa kuwa hakuna wateja wenye uwezo wa kuwalipa walau hata gharama za kutunza ofisi, supply ya mawakili itakuwa kubwa ila wa kuwalipa hakuna, na ni nani atakayekuwa tayari kwenda kufanya kazi ya kujitolea bila ujira, jibu ni hakuna, tumeanza kuona mawakili wengi wakianza kuacha kutegemea biashara ya uwakili, wengine wameanza kutegemea biashara ya kuuza watoto wa mbwa Germany Shepherd! tutashuhudia mawakili zaidi na zaidi wakibadilisha taaluma na vijana wengi kukwepa kusoma sheria, labda hao mawakili walipwe na serikali, then ruksa waproduce idadi wanayotaka! otherwise ni hatari kwa taaluma ya sheria itazidi kuwa na michezo michafu inayotokana na mawakili kugombea ujira kutoka kwa wateja wachache
 
Demand ipo lakini few people can afford service hiyo, kuna mikoa nadhani Mtwara na Lindi au labda na Rukwa ndiyo haina wakili wa kujitegemea hata mmoja,na mawakili hawaendi mikoa hiyo kwa kuwa hakuna wateja wenye uwezo wa kuwalipa walau hata gharama za kutunza ofisi, supply ya mawakili itakuwa kubwa ila wa kuwalipa hakuna, na ni nani atakayekuwa tayari kwenda kufanya kazi ya kujitolea bila ujira, jibu ni hakuna, tumeanza kuona mawakili wengi wakianza kuacha kutegemea biashara ya uwakili, wengine wameanza kutegemea biashara ya kuuza watoto wa mbwa Germany Shepherd! tutashuhudia mawakili zaidi na zaidi wakibadilisha taaluma na vijana wengi kukwepa kusoma sheria, labda hao mawakili walipwe na serikali, then ruksa waproduce idadi wanayotaka! otherwise ni hatari kwa taaluma ya sheria itazidi kuwa na michezo michafu inayotokana na mawakili kugombea ujira kutoka kwa wateja wachache

Ni kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom