Junior counsel
Senior Member
- May 17, 2022
- 190
- 503
Taasisi ya mafunzo ya uanasheria Kwa vitendo (LST) imepandisha gharama za mafunzo ya uanasheria kwa vitendo kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=. Ikumbukwe kuwa malipo hayo hufanyika Kwa mkupuo mmoja.
Maswali ya kujiuliza;
~ Je, lengo la kupandisha gharama kwa kiwango kikubwa kiasi hiki ni nini?
~ Je LST inatoa huduma au inafanya biashara?
~ Je, watoto wa maskini ambao tayari wameanza kusoma sheria watumudu kiwango hiki, ukizingatia kazi nyingi za kisheria ili mtu aweze kuzifanya lazima awe anatambulika kama Wakili?
Je, LST walichukia kukosolewa na hivyo kupandisha gharama ili kuwakomoa wananchi?
Mwisho
Kwa sisi ambao bado hatujapata fedha za kutosha, usimshauri mwanao kusoma sheria, ni kozi fulani inahitaji uwe unajiweza kiuchumi.
Maswali ya kujiuliza;
~ Je, lengo la kupandisha gharama kwa kiwango kikubwa kiasi hiki ni nini?
~ Je LST inatoa huduma au inafanya biashara?
~ Je, watoto wa maskini ambao tayari wameanza kusoma sheria watumudu kiwango hiki, ukizingatia kazi nyingi za kisheria ili mtu aweze kuzifanya lazima awe anatambulika kama Wakili?
Je, LST walichukia kukosolewa na hivyo kupandisha gharama ili kuwakomoa wananchi?
Mwisho
Kwa sisi ambao bado hatujapata fedha za kutosha, usimshauri mwanao kusoma sheria, ni kozi fulani inahitaji uwe unajiweza kiuchumi.