comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,220
- 5,940
Wahadhiri wengi wa LAW SCHOOL OF TANZANIA wako pia kwenye taasisi za kiraia zinazoshungulika na haki za binadamu. aidha wamekuwa mstari wa mbele kulaumu utendaji wa serikali na taasisi zake. kinachonishangaza wakati wanapata mda wa kufanya hayo hawana mda kabisa wa kusahihisha mitihani ya wanafunzi wao. huu ni ubakaji wa dhahiri wa haki za binadamu kwani unawanyima fursa wanafunzi waliopita , walipo na watakaopita LST.