chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,206
- 304
Law school ya Tanzania ya tia fora mwaka huu baada ya kuchagua wanafunzi wengi zaidi kuliko miaka iliyopita kama ilivyokuwa ada huko miaka ya nyuma. Ni leo jioni majina ya wanafunzia waliochaguliwa na chuo hicho yametolewa katika mfululizo wa batch 3, ya kwanza ikiwa inaingia mwezi april ambayo hiyo ni batch ya kumi na moja(11)na nyingine ikiwa inaingia mwezi wa 6 batch ya kumi na mbili(12) na kumi na tatu(13) kwa ufafanuzi zaidi tembelea website ya chuo hicho ambayo ni www.lst.ac.tz