Law school of Tanzania kwa mwanafunzi anayetokea nje ya nchi

Travis 1

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
872
1,349
Samahani wakuu, nilikua nauliza utaratibu wa mwanafunzi kujiunga na law school of Tanzania akitokea Kenya. Ni vitu gani vya muhimu anahitajika kuwa navyo.

Natanguliza shukrani.
 
Samahani wakuu, nilikua nauliza utaratibu wa mwanafunzi kujiunga na law school of Tanzania akitokea Kenya. Ni vitu gani vya muhimu anahitajika kuwa navyo.

Natanguliza shukrani.
Ingia kwa website yao utakuta kila kitu na application form una down load.Masharti Ni kuwa umesoma kozi zilizoainishwa pale na uwe na vyeti.
 
Back
Top Bottom