Ingia kwa website yao utakuta kila kitu na application form una down load.Masharti Ni kuwa umesoma kozi zilizoainishwa pale na uwe na vyeti.Samahani wakuu, nilikua nauliza utaratibu wa mwanafunzi kujiunga na law school of Tanzania akitokea Kenya. Ni vitu gani vya muhimu anahitajika kuwa navyo.
Natanguliza shukrani.