Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
nisiache kuwapa sifa zao zinazostahili ila isiwe chanzo cha kuvuruga utaratibu mzuri unaoendelea na kuanza kufanya madudu kama taasisi nyingine.
Naweza kusema ni mojawapo ya taasisi bora kabisa nchini inayotoa huduma zake bila upendeleo wala kuangalia wajihi, ubini wala uwezo wa mtolewa huduma...kwa kiwango chake inatoa haki kwa wote kwa kuzingatia vigezo.
Ni dhahiri wasimamizi wa hii taasisi wanastahili sifa ya kipekee na kuendelea kuwepo katika eneo lao la kazi kwani wanautendaji bora kabisa.
Nawatakieni sikukuu njema kabisa ya mwisho na mwanzo wa mwaka 2014
R.I.P Madiba.
Naweza kusema ni mojawapo ya taasisi bora kabisa nchini inayotoa huduma zake bila upendeleo wala kuangalia wajihi, ubini wala uwezo wa mtolewa huduma...kwa kiwango chake inatoa haki kwa wote kwa kuzingatia vigezo.
Ni dhahiri wasimamizi wa hii taasisi wanastahili sifa ya kipekee na kuendelea kuwepo katika eneo lao la kazi kwani wanautendaji bora kabisa.
Nawatakieni sikukuu njema kabisa ya mwisho na mwanzo wa mwaka 2014
R.I.P Madiba.