The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Nimesoma maoni ya wengi humu ni kuwa chadema wasikate rufaa.Premise kubwa wanayorely ni kuwa chadema itashinda Arusha,na pia maamuzi ya rufaa yatacheleweshwa. Naomba kutofautiana.
1. Credibility-Kutokukata rufaa impliedly kuna maana chadema na lema wote wamekubali kuwa walikiuka taratibu za uchaguzi..kuna maanisha kweli walimdhalilisha Batilda kwa namna tofauti hasa kijinsia na hii inashusha credibility ya chama.
2. Ukiappeal unaweza omba mahakama kumaintain status quo-yani lema atakuwa mbunge hadi mahakama ya rufaa itakaposema otherwise-so wakichelewesha kesi inakula kwa ccm yenyewe.
3. Chadema inasema hata wakiweka jiwe watashinda uchaguzi..Imagine uchaguzi umeitishwa,halafu ccm wakamwekea pingamizi lema tume ya uchaguzi halafu likawa upheld hiyo itakuwa ni direct win kwa ccm sababu by then itakuwa too late to meet deadline kwa chadema kuweka mgombea mwingine.
4.ccm hawako tayari kulipoteza jimbo tena hasa katika wakati huu ambapo wameshashindwa arumeru tayari.It is a do or die thing-by hook or crook..chadema wanajua mbinu ccm walizojiandaa nazo kuwin arusha hata kama ni wizi wa kura na electoral irregularities?
5. Suppose chadema imeshindwa,unadhan wakati huo wanaweza kisheria kuuchallenge uamuzi wa sasa hivi wa high court?Kwanza watakuwa out of time na hata wakiwa granted leave to appeal out of time grounds zao zitakuwa weak na kutoappeal in time inaweza kutumika as evidence against them kwamba tayari walishaconcede..
Kuna msemo wa kisheria unasema-If you sleep on your right you should not be heard to claim it later.
Election shud be last resort
Grounds of appeal
1. The judge erred both in law and fact(although court of appeal ni matters of law pekee)
A. Petitioners failed to meet threshold of evidence even on the balance of probabilities
B.The judge failed to apprehend that the said irregularities(if any) were curable and did not go to the root as to affect the outcome of the results.
C. Such insults and hitting below the belt,if anything serves to discredit the person saying
1. Credibility-Kutokukata rufaa impliedly kuna maana chadema na lema wote wamekubali kuwa walikiuka taratibu za uchaguzi..kuna maanisha kweli walimdhalilisha Batilda kwa namna tofauti hasa kijinsia na hii inashusha credibility ya chama.
2. Ukiappeal unaweza omba mahakama kumaintain status quo-yani lema atakuwa mbunge hadi mahakama ya rufaa itakaposema otherwise-so wakichelewesha kesi inakula kwa ccm yenyewe.
3. Chadema inasema hata wakiweka jiwe watashinda uchaguzi..Imagine uchaguzi umeitishwa,halafu ccm wakamwekea pingamizi lema tume ya uchaguzi halafu likawa upheld hiyo itakuwa ni direct win kwa ccm sababu by then itakuwa too late to meet deadline kwa chadema kuweka mgombea mwingine.
4.ccm hawako tayari kulipoteza jimbo tena hasa katika wakati huu ambapo wameshashindwa arumeru tayari.It is a do or die thing-by hook or crook..chadema wanajua mbinu ccm walizojiandaa nazo kuwin arusha hata kama ni wizi wa kura na electoral irregularities?
5. Suppose chadema imeshindwa,unadhan wakati huo wanaweza kisheria kuuchallenge uamuzi wa sasa hivi wa high court?Kwanza watakuwa out of time na hata wakiwa granted leave to appeal out of time grounds zao zitakuwa weak na kutoappeal in time inaweza kutumika as evidence against them kwamba tayari walishaconcede..
Kuna msemo wa kisheria unasema-If you sleep on your right you should not be heard to claim it later.
Election shud be last resort
Grounds of appeal
1. The judge erred both in law and fact(although court of appeal ni matters of law pekee)
A. Petitioners failed to meet threshold of evidence even on the balance of probabilities
B.The judge failed to apprehend that the said irregularities(if any) were curable and did not go to the root as to affect the outcome of the results.
C. Such insults and hitting below the belt,if anything serves to discredit the person saying