Laurence masha wale mbu ofisini umemwachia nani??

Ina maana ofisi za wabunge jazina samani? Vinginevyo hajachukua vitu vyake ila isemwe bila kuuma mdomo KAIBA.
 
Watu wenye chembe chembe za ufisadi walikuwa wezi na wadokozi wa kalamu na madaftari ya wenzao shuleni. Sasa wanaji-ibia hata wenyewe.
 
tehetehetehe mbu kachukua kama gunia tisa waliobaki yalikuwa mayai tu
 
hana tofauti na wanaowanunulia wapenzi wao simu wakikorofishana wanawanyang'anya..hakika amefilisika kisiasa:bump:
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom