BigTime
Member
- Sep 17, 2008
- 43
- 4
Wadau nimesikia hizi habari kitaa (not from a valid source) kuwa Kikwete kikatiba ana nafasi kumi za kuteua wabunge awatakao, kumbuka mwaka 2005 alimteua Kingunge Ngomable Mwiru kuwa mbunge. Kwa hiyo katika hao wateuliwao this time na Lawrence Masha yumo, ukistaajabu ya Musa......
Habari ndo hiyo...
Habari ndo hiyo...