Lau masha kurudi bungeni 2010 na kuwa waziri

BigTime

Member
Sep 17, 2008
43
4
Wadau nimesikia hizi habari kitaa (not from a valid source) kuwa Kikwete kikatiba ana nafasi kumi za kuteua wabunge awatakao, kumbuka mwaka 2005 alimteua Kingunge Ngomable Mwiru kuwa mbunge. Kwa hiyo katika hao wateuliwao this time na Lawrence Masha yumo, ukistaajabu ya Musa......

Habari ndo hiyo...
 

Kigogo

JF-Expert Member
Dec 14, 2007
20,518
6,109
hata amchague mkewe kuwa waziri wa fedha to me kikwete is just another nightmare to this country hana jipya
 

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,156
160
CCM nimeshasema hawana kazi za maslahi ya nchi hii. Imeshakuwa ni nchi ya watu wachache.

Na tusubiri tu natural kalamity kama hatutawang'oa hawa jamaa.
Kama watanzania tungekuwa macho CCM ingekuwa kaburini tangu mwaka huu. lakini kwa vile hatutaki, basi tusubiri tu Mungu aamue mwenyewe.

Lakini CCM jamani imezidi!!! Jamani Imezidi kuwa kihiyo!
Tatizo ni kwamba viongozi wa juu ni wasomi amabo hawakutafuta elimu ila walipewa tu! hivyo hawajui lolote (Yaani wapi wanaenda na wapi tuende, ili iwe nini. ) Ili mradi tu watoto wao wananawiri
 

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,457
8,294
To add on top of that even if Masha returns back in the Parliament he wont make any impact at all coz he has failed politically
To add on top of that even if Masha returns back the we'll not be the same!!coz Nyamagana residential have said no!!
 

Munghiki

Senior Member
Oct 10, 2010
153
10
abvious hilo nilitarajia ili chichim kulinda ufisadi wao tna in same ministry as he was!
 

Watu

JF-Expert Member
May 12, 2008
3,231
1,466
Hiyo noma, jamaa hawamtaki tu wangemtaka wangekomaa na la wenje sio raia kabla hata hawajafika kwa wananchi kuamua

Wamemtoa kafara huyo
 

Nyunyu

JF-Expert Member
Mar 9, 2009
4,354
1,005
Wananchi wa nyamagana wamekwisha muabisha!!! Arudi asirudi sawa tu!! Wananchi wamemdhihirishia prezidaa kuwa machagua yake ni bomu; akiwarudisha anajichimbia kaburi lake mwenyewe!!!

Hii nchi with CCM in power ni janga la kitaifa...:doh:
 

kaburunye

JF-Expert Member
May 12, 2010
674
73
Sidhani. Nimeota usiku wa leo kuwa nilikuwa namhoji Masha kuwa ana mpango gani baada ya kuanguka ubunge na akanijibu kuwa yeye ni kijana milionea na anarudi ku-practice u-lawyer wake. Sijui hii ndoto ni ya kweli au ilitokana na ugali niliotwanga kabla ya kulala.

Lakini juzi niliota Sita kaukosa ubunge na kweli imetokea. Nilifundishwa kanisani kuwa ndoto ni bayana. Tusubiri tuone
 

dkims

Senior Member
Mar 25, 2010
148
24
Sidhani. Nimeota usiku wa leo kuwa nilikuwa namhoji Masha kuwa ana mpango gani baada ya kuanguka ubunge na akanijibu kuwa yeye ni kijana milionea na anarudi ku-practice u-lawyer wake. Sijui hii ndoto ni ya kweli au ilitokana na ugali niliotwanga kabla ya kulala.

Lakini juzi niliota Sita kaukosa ubunge na kweli imetokea. Nilifundishwa kanisani kuwa ndoto ni bayana. Tusubiri tuone


sijui bado unaota, amka tafadhali.!!!!!!!!!!
 

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,276
17,055
Sidhani. Nimeota usiku wa leo kuwa nilikuwa namhoji Masha kuwa ana mpango gani baada ya kuanguka ubunge na akanijibu kuwa yeye ni kijana milionea na anarudi ku-practice u-lawyer wake. Sijui hii ndoto ni ya kweli au ilitokana na ugali niliotwanga kabla ya kulala.

Lakini juzi niliota Sita kaukosa ubunge na kweli imetokea. Nilifundishwa kanisani kuwa ndoto ni bayana. Tusubiri tuone

Ndoto yako sio kweli....ni mbunge wa Urambo
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom