johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,549
Naelewa kwamba wametangaza social distance kwenye ya mita 1 kwenye stendi za daladala kama pale Makumbusho na Mbagala.
Sidhani kama hiyo inasaidia lolote kama ndani ya basi watu wanakanyagana.
Maendeleo hayana vyama
Sidhani kama hiyo inasaidia lolote kama ndani ya basi watu wanakanyagana.
Maendeleo hayana vyama