Nachojua kuna baadhi ya kampuni zimefungiwa leseni na Latra hadi mwezi mzima kwa kufanya tempering. Madhara ya tempering na hizi spidi ni makubwa sana kwa jamii. Nadhani kinachohitajika ni kuongeza adhabu ili watu waogope kuchezea vifaa hivyo.
LATRA>VTS TAMPERING>ACCIDENT....Doesn't ring the bell?!Kuna uhusiano gani kati ya picha ya kwanza na yapili pamoja na heading?.
Wengine wanajifunza kwa vitendo lakini bado hawataelewa.LATRA>VTS TAMPERING>ACCIDENT....Doesn't ring the bell?!
Kwa hali hii Latra tunawaonea bure. Kuna baadhi ya madereva wa mabasi pia wanafanya michakato ya kugomea wasisajiliwe wala kuthibitishwa na latra, ili waendelee na uharamia wa kuhatarisha maisha ya watanzania bila kuadhibiwa.Katika pita pita zangu nimekutana na hii taarifa ya uhakika kuwa Umoja wa Madereva wa Mabasi Tanzania (UWAMATA) mwaka 2019, walifungua kesi No.87 ya 2019.
Kesi hyo isiyo na kichwa wala miguu inalengo la kuzuia LATRA wasitoe adhabu kwa madereva wanaokiuka taratibu za king'amuzi. Zuio la Mahakama lilitolewa na hadi sasa kesihaijaisha.
Picha ni moja tu ya ajali ya mabasi, kifaa husika ajali ikitokea kinaonesha mahali na muda wa ajali, hivyo msaada wa haraka unapatikana.Kuna uhusiano gani kati ya picha ya kwanza na yapili pamoja na heading?.
Picha ni moja tu ya ajali ya mabasi, kifaa husika ajali ikitokea kinaonesha mahali na muda wa ajali, hibyo msaada wa haraka unapatikana.
Uko sahihi, kifaa kinauwezo wa kutoa taarifa za mambo mengi ikiwemo taarifa za gari kupinduka, kugongana au kwenda nje ya njia iliyoruhusiwa. Taarifa hiyo inamfikia mmiliki wa gari husika, LATRA na PolisiPicha ni moja tu ya ajali ya mabasi, kifaa husika ajali ikitokea kinaonesha mahali na muda wa ajali, hibyo msaada wa haraka unapatikana.