Latop Skins

Mnandi

Senior Member
Aug 30, 2011
156
25
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha?? na zinaRange kwenye shilingi ngapi?,,,nashkuru sana..

37122425.png
82967482.jpg
23556602.jpg
code33chelsea.jpg
29007262.png
28975616.png
65957212.png
87204785.jpg
 
Duh hv madukanı hazpatıkanı kwelı?
Subirı wadau waje hapa,ıla mkuu hyo headıng yako ina walakinı.
 
Hiiv na hizi na zinakuwa imported kwa kutumia $$$$$. Itapendeza mwanateknolojia wa graphics atujuze
  • zinatengenzwaje?,
  • Kiasi gani skin moja inaweza kughaharimu kutengeneza.
ili badala kuagaiza vitu vidgo vidogo kama hivi kutoka china basi tukachachue wenyewe.
Ingawa sioni umuhimu wake naweza kushawishika kununua ikiwa ni imetengezwa na Mtanzania. Tutaendelea kuwa consumers hata wa bidhaa kama hizi !!!!!!!. Kazi tunayooooo......
 
Duh hv madukanı hazpatıkanı kwelı?
Subirı wadau waje hapa,ıla mkuu hyo headıng yako ina walakinı.
asante mkuu nishabadilisha title heading, nimetembelea maduka ya mlimani city nikakuta skins za kawaida za nature na magari ila hizi za sports sikuona, Arusha nako madukani ni hvyo hvyo,,,ni nzuri kwaajili ya kuzuia scratches kwenye computer,,,
 
Hiiv na hizi na zinakuwa imported kwa kutumia $$$$$. Itapendeza mwanateknolojia wa graphics atujuze
  • zinatengenzwaje?,
  • Kiasi gani skin moja inaweza kughaharimu kutengeneza.
ili badala kuagaiza vitu vidgo vidogo kama hivi kutoka china basi tukachachue wenyewe.
Ingawa sioni umuhimu wake naweza kushawishika kununua ikiwa ni imetengezwa na Mtanzania. Tutaendelea kuwa consumers hata wa bidhaa kama hizi !!!!!!!. Kazi tunayooooo......
ni kweli mkuu, kwa jinsi ninavyozifahamu hizi skins ni kama sticker na sidhani zinahitaji teknolojia ya juu sana kuzitengeneza, wataalam wetu wa Graphics wangejikita kutengeneza design hii wangepata soko la kueleweka....
 
Back
Top Bottom