asante mkuu nishabadilisha title heading, nimetembelea maduka ya mlimani city nikakuta skins za kawaida za nature na magari ila hizi za sports sikuona, Arusha nako madukani ni hvyo hvyo,,,ni nzuri kwaajili ya kuzuia scratches kwenye computer,,,Duh hv madukanı hazpatıkanı kwelı?
Subirı wadau waje hapa,ıla mkuu hyo headıng yako ina walakinı.
ni kweli mkuu, kwa jinsi ninavyozifahamu hizi skins ni kama sticker na sidhani zinahitaji teknolojia ya juu sana kuzitengeneza, wataalam wetu wa Graphics wangejikita kutengeneza design hii wangepata soko la kueleweka....Hiiv na hizi na zinakuwa imported kwa kutumia $$$$$. Itapendeza mwanateknolojia wa graphics atujuze
ili badala kuagaiza vitu vidgo vidogo kama hivi kutoka china basi tukachachue wenyewe.Ingawa sioni umuhimu wake naweza kushawishika kununua ikiwa ni imetengezwa na Mtanzania. Tutaendelea kuwa consumers hata wa bidhaa kama hizi !!!!!!!. Kazi tunayooooo......
- zinatengenzwaje?,
- Kiasi gani skin moja inaweza kughaharimu kutengeneza.