IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Anasimulia mwaka 1998 wakati nipo shule ya msingi ndio naingia darasa la saba mama na baba walitengana, ivyo baba akamwambia mama kama unaenda we nenda ila watoto waache mama akaondoka na kutuacha na baba mim na ndugu yangu apo rasmi shule nikaacha.
Na darasa la saba niliishia kunusa tu sikusoma chochote. Kutokana na harakati za maisha ya hapa na pale nikajichanganya uko bagamoyo kwenye harakati za uvuvi nikawa na vua samaki wadogodog mradi kupata riziki za hapa na pale .
Lakini nilikutana na jamaa zangu flani ambao nao walikua wakivua isipokua wao walikua wanaenda mbali maji marefu uko karibu na Zanzibar walinishawishi nijiunge nao ili tuwe tunakwenda uko kweli nikajiunga nao na rasmi nikaanza kuvua nao uko. Ilikua ni kawaida kukutana na mawimbi makubwa muda mwingne tulilala uko uko visiwani palikua na visiwa kama pungume ,chime ,kware na vingne ambavyo tulikua tunaweka makazi kwa shughli zetu izi za kuvua samaki.
Lakini katika shughuli izi za kuvua samaki akili yangu ilikua ainitumi kabisa japo pesa ilikuepo ya kawaida ila akili yangu ilikua kuelekea mbele ughaibuni lakini ni katika njia za panya zile za kuzamia kwenye meli sio njia halali. Mpaka kuwaza ivyo tayari palikua na jamaa zetu wengne ambao walikua wamezamia uko na kwa kipindi icho ilikua kama ukifanikiwa kutoboa kwa njia izo ukafika uko ughaibuni basi umetoboa kweli. Ilikua swala la kupata visa ili uweze kwenda uko ni kizungumkuti maswali mengi utaulizwa na vitu kibao kwaiyo njia nyepesi ililikua ni kuzamia kwenye meli pasipo kuangaika na maswala ya viza.
Basi siku iyo nikiwa na washkaji zangu lile wazo la kuzamia likanijia kichwani nilikua najamaa zangu wote vichwa maji na akili zetu zilikua sawa kabisa niliwapa ili wazo la kuzamia na wakalipokea na kitu cha kawaida kipindi icho watu kuzamia meli alafu wao walikua wakubwa kwangu na pia tulijua kuogelea tuliwaza ata kama tuta tosawa aitakua ugumu kwetu majini ni kama tu umemetosa mamba kwenye maji mawazo haya.
Basi tukajipanga vizuri Siku iyo na washkaji zangu tulielekea maeneo ya feli kucheki magoma (Meli) tukazikuta pale zimepaki na zipo na bendera za mataifa mbali mbali zikipepea kuonesha zitapita kwenye izo nchi. Lakini pia tukachunguza kuweza kujua kwamba hii itaondoka lini na muda gani maana sometimes unaweza bugi kwamba mkaingia tu kwenye meli pasipo kujua na ukajikuta unakaa apo mwez mzima meli aijaondoka kweli tukapata ambayo inaondoka siku chache mbele ilikua meli ya mizigo ya wagiriki, kabla ya kuondoka tukahakikisha tunapata mikate na maji ya kwenye makopo na vyakula vingine ambavyo sio vyepesi kukushika na aja kubwa pia tulibeba pombe kali kwajili ya baridi ikitokea zile ukinywa zinaleta joto mwilini pia bangi pamoja kiberiti cha gesi ivi vilikizi.
Na siku ya kuzamia tuliingia kwemye meli kupitia tundu la nanga lile ambalo wanapitisha minyororo mikubwa ya kushikia meli.
Tulikua ni watu kama wa nne au wa tano sikumbuki vizuri sana yess tukaingia ndani ya ile meli na kutafuta sehemu iliyo karibu na damp ya chakula pale ambapo wanatupa uchafu kama mabaki ya chakula na vitu vingne ili iwe kazi nyepesi tukiishiwa chakula Basi tutakwenda hapo kutafuta chakula ikumbukwe pia muda wa kuingia ndani ya meli tuliingia usiku sana mida kama ya saa Tisa ivi ndio tulizama ndani ya meli.
Ilichukua siku tatu mpaka meli kupiga honi ya kuhashiria sasa inataka kuondoka hapa kila mtu alishtuka na tukawa kimya akuna ambae alimsemesha mwenzake pia hofu ikatuingia kwamba hakilino mwetu ndio muda mfupi ujao tutaicha ardhi ya Tanzania ki ukweli unakua na taharuki kwakua pia unako enda akuna ndugu wala ujui utakutana na nani ila maji ushayavulia nguo sharti uyaoge akuna budi.
Baada ya muda tukasikisa mtetemo wa meli ndio ina achia nanga sasa na kuondoka eneo lile taratibu ndio inakwenda ilituchkua kama muda wa nusu saha akuna aliemsemesha mwenzake wote tulikua kimya kabisa nafikiri kila mtu alikua na mawazo yake uko tuendako binafsi nilipiga dua kwa kumuomba mungu na mizimu yetu pia inisimamie uko tuendako na wenzangu.
Basi safari ilisonga na izi meli za mizigo azikua na kasi sana mwanzoni mpaka uko mbeleni kwenye maji marefu ndio kasi inazidi tukiwa mule ndani tulikua tuna kadiria tu muda kwamba saiz usiku saiz mchana ngoma inazdi kusonga na vile vyakula vyetu tukawa tunatumia taratibu kwa kujibana visiishe, ila ndani ya siku tano au sita vyakula vilikwisha.
Sasa basi baada ya kuishiwa chakula na kukaa bila kula aiwezekani na nia ya kukaa eneo tulilo jificha ni kalikaribia damp la kutupa uchafu sasa muda uliwadia kwenda kusaka msos pale dampo na Mimi nilikua wa kwanza Ila umakini tu ndio ulihitajika mno isije ukaonwa ikawa shida na kinapoingia kiza ndio unakua muda sahihi kwani wao muda huo hua wanapumzika kama pombe ndio wanakunywa wa kutumia madawa wanatumia kucheki picha za ngono awana purukushani tulikua kama panya tu pale binadamu wanapotulia wao ndio wanaingia kazini kusaka chochote kitu.
Yap nilienda kusaka msosi kwenye lile dampo pia niliakikisha miguu yangu aichi alama unaweza ukakanyaga kitu ukaacha alama za vidole ndio mmedakwa apo nilkwenda nikafanikiwa kupata pande la samaki kubwa navyosema kubwa ni kubwa hasa sio viji samaki likiwa limeandamana na kichwa walikula kidogo tu wakaliacha pia kulikua na vyakula vya kopo navyo nikachukua na pombe flan ivi ilinywewa nusu ikaachawa basi nikatoka na mzgo mpaka tulipo nikafika salama tukala msoi vizuri na yule samaki alikua mkubwa kwaiyo atukutoka siku ya pili kwenda kusaka tena na alikua kaokwa samaki wale bongo hapa ni watu wa pesa ndio wamekua wakiwala sana mwenzangu Mimi utaishia kuwaona tu au kula walio haribika kama ngulu wa chumvi wale ni samaki walio haribika kwaiyo wamewekwa chumvi nyingi kuondoka ukakasi tu ukiwakuta ngulu wenyewe original awachachi na watu wanawapiga vizuri tu Ila pesa ndio inatulisha vya bei chee wapo ngulu wenyewe safi watamu ndugu zanguni.
Tuendelee katika vile vyakula pia palikua na pombe ambayo niliichukua nje ya kopo palikua na picha ya nyoka yani hapa sumu ya nyoka ndio ilitumika katika utengenzaji wa hii pombe na pia ilikua na kipimo chake kuna namba ziliandikwa pale unywi ovyo ovyo tu pia ilitakiiwa umix na vinywaji vingne kupunguza ukali wa alcohol
Sasa kuna mwenzetu alikua mbishi alisema yeye pombe anazijua vizuri na awezi kusumbuka na pombe kabla ajanywa tulichanganya na maji na kisha yeye kunywa baada ya muda tu kidogo akaanza kutetemeka na baadae akaanza kutoka manundu manundu mwilini bila shaka ile pombe ilianza kufanya kazi tukamnywesha maji kwa wingi lakini baadae alipata nafuu na kuna mmoja wetu alikwenda kule kwenye damp katika kusaka alipata maziwa yaliyo ganda akaja akampa mshkaji akanywa walau akawa na nafuu sasa ila Yale manundu ayakutoka.
Basi kama kawaida siku iyo mwenzetu mmoja akaenda kucheki misos kule kwenye ile damp wakati kaenda kucheki zaga kuna sehemu kama mafuta ivi alikanyaga sasa wakati anarudi akaacha alama za mguu wale jamaa walipokuja kutupa mchana panakaua na mwanga wakakuta zile alama hapa walishtuka na wakaisi kabisa kuna watu ndani wakanza kutusaka.
Walisaka siku ya kwanza awakutushika lakini pale tulipo tulikua tunasikia zile movement zao sisi tukiwa tumejibanza wale jamaa awakukata tamaa waliendelea na hatimae wakatukuta kule tulipo na wote tukashikwa na kutolewa hapa sasa ikawa ni vitendo tu maana lugha ilikua ni lugha gongana akuna maelewanao vitendo ivyo ilikua ni kichapo wale wazungu walikua wana tupiga makofi mateke mladi kichapo tu.
Tukapelekwa eneo flani ivi tukapewa kazi ya kusafisha pale ilikua ni siku nzima akuna chakula wala maji kazi tu full usafi yule jamaa yetu mwenye manundu sele alikua anaitwa wakamuhoji kwa vitendo imekuaje akawa ambia vile vile akawapa ishara ya kunywa akataja na alcohol wale jamaa wakamu elewa walicheka sana walielewa jamaa kaparamia pombe ile ngumu .
Basi jamaa waliendelea kutuweka chini ya ulinzi pale na msosi tulipewa Mara moja tu uku wakitafakari lakini bila shaka waliona wakiendelea kubaki nasi uko mbele ni matatizo wale jamaa tulikua nao ila ni bahat tu sababu uwaga awakawizi mtu akishikwa wanakurusha baharini utajijua mwenyewe.
Mara nyingi walikua wakijadiliana naona ilikua ni mipango ya kutuhua sasa na kweli muda uliwadia ilikua usiku niliwasikia wakitamka Mozambique bila shaka tulikua msumbiji walitupa Bible (biblia) tujiombee kama ni mkristo msilamu iyo aiwahusu wakatupa pamoja na boya kubwa mfano wa boti ili tuweze kusurvive nalo tukiwa majini baada ya kutoswa
Tupate maji na ftari tutarudi
Na darasa la saba niliishia kunusa tu sikusoma chochote. Kutokana na harakati za maisha ya hapa na pale nikajichanganya uko bagamoyo kwenye harakati za uvuvi nikawa na vua samaki wadogodog mradi kupata riziki za hapa na pale .
Lakini nilikutana na jamaa zangu flani ambao nao walikua wakivua isipokua wao walikua wanaenda mbali maji marefu uko karibu na Zanzibar walinishawishi nijiunge nao ili tuwe tunakwenda uko kweli nikajiunga nao na rasmi nikaanza kuvua nao uko. Ilikua ni kawaida kukutana na mawimbi makubwa muda mwingne tulilala uko uko visiwani palikua na visiwa kama pungume ,chime ,kware na vingne ambavyo tulikua tunaweka makazi kwa shughli zetu izi za kuvua samaki.
Lakini katika shughuli izi za kuvua samaki akili yangu ilikua ainitumi kabisa japo pesa ilikuepo ya kawaida ila akili yangu ilikua kuelekea mbele ughaibuni lakini ni katika njia za panya zile za kuzamia kwenye meli sio njia halali. Mpaka kuwaza ivyo tayari palikua na jamaa zetu wengne ambao walikua wamezamia uko na kwa kipindi icho ilikua kama ukifanikiwa kutoboa kwa njia izo ukafika uko ughaibuni basi umetoboa kweli. Ilikua swala la kupata visa ili uweze kwenda uko ni kizungumkuti maswali mengi utaulizwa na vitu kibao kwaiyo njia nyepesi ililikua ni kuzamia kwenye meli pasipo kuangaika na maswala ya viza.
Basi siku iyo nikiwa na washkaji zangu lile wazo la kuzamia likanijia kichwani nilikua najamaa zangu wote vichwa maji na akili zetu zilikua sawa kabisa niliwapa ili wazo la kuzamia na wakalipokea na kitu cha kawaida kipindi icho watu kuzamia meli alafu wao walikua wakubwa kwangu na pia tulijua kuogelea tuliwaza ata kama tuta tosawa aitakua ugumu kwetu majini ni kama tu umemetosa mamba kwenye maji mawazo haya.
Basi tukajipanga vizuri Siku iyo na washkaji zangu tulielekea maeneo ya feli kucheki magoma (Meli) tukazikuta pale zimepaki na zipo na bendera za mataifa mbali mbali zikipepea kuonesha zitapita kwenye izo nchi. Lakini pia tukachunguza kuweza kujua kwamba hii itaondoka lini na muda gani maana sometimes unaweza bugi kwamba mkaingia tu kwenye meli pasipo kujua na ukajikuta unakaa apo mwez mzima meli aijaondoka kweli tukapata ambayo inaondoka siku chache mbele ilikua meli ya mizigo ya wagiriki, kabla ya kuondoka tukahakikisha tunapata mikate na maji ya kwenye makopo na vyakula vingine ambavyo sio vyepesi kukushika na aja kubwa pia tulibeba pombe kali kwajili ya baridi ikitokea zile ukinywa zinaleta joto mwilini pia bangi pamoja kiberiti cha gesi ivi vilikizi.
Na siku ya kuzamia tuliingia kwemye meli kupitia tundu la nanga lile ambalo wanapitisha minyororo mikubwa ya kushikia meli.
Tulikua ni watu kama wa nne au wa tano sikumbuki vizuri sana yess tukaingia ndani ya ile meli na kutafuta sehemu iliyo karibu na damp ya chakula pale ambapo wanatupa uchafu kama mabaki ya chakula na vitu vingne ili iwe kazi nyepesi tukiishiwa chakula Basi tutakwenda hapo kutafuta chakula ikumbukwe pia muda wa kuingia ndani ya meli tuliingia usiku sana mida kama ya saa Tisa ivi ndio tulizama ndani ya meli.
Ilichukua siku tatu mpaka meli kupiga honi ya kuhashiria sasa inataka kuondoka hapa kila mtu alishtuka na tukawa kimya akuna ambae alimsemesha mwenzake pia hofu ikatuingia kwamba hakilino mwetu ndio muda mfupi ujao tutaicha ardhi ya Tanzania ki ukweli unakua na taharuki kwakua pia unako enda akuna ndugu wala ujui utakutana na nani ila maji ushayavulia nguo sharti uyaoge akuna budi.
Baada ya muda tukasikisa mtetemo wa meli ndio ina achia nanga sasa na kuondoka eneo lile taratibu ndio inakwenda ilituchkua kama muda wa nusu saha akuna aliemsemesha mwenzake wote tulikua kimya kabisa nafikiri kila mtu alikua na mawazo yake uko tuendako binafsi nilipiga dua kwa kumuomba mungu na mizimu yetu pia inisimamie uko tuendako na wenzangu.
Basi safari ilisonga na izi meli za mizigo azikua na kasi sana mwanzoni mpaka uko mbeleni kwenye maji marefu ndio kasi inazidi tukiwa mule ndani tulikua tuna kadiria tu muda kwamba saiz usiku saiz mchana ngoma inazdi kusonga na vile vyakula vyetu tukawa tunatumia taratibu kwa kujibana visiishe, ila ndani ya siku tano au sita vyakula vilikwisha.
Sasa basi baada ya kuishiwa chakula na kukaa bila kula aiwezekani na nia ya kukaa eneo tulilo jificha ni kalikaribia damp la kutupa uchafu sasa muda uliwadia kwenda kusaka msos pale dampo na Mimi nilikua wa kwanza Ila umakini tu ndio ulihitajika mno isije ukaonwa ikawa shida na kinapoingia kiza ndio unakua muda sahihi kwani wao muda huo hua wanapumzika kama pombe ndio wanakunywa wa kutumia madawa wanatumia kucheki picha za ngono awana purukushani tulikua kama panya tu pale binadamu wanapotulia wao ndio wanaingia kazini kusaka chochote kitu.
Yap nilienda kusaka msosi kwenye lile dampo pia niliakikisha miguu yangu aichi alama unaweza ukakanyaga kitu ukaacha alama za vidole ndio mmedakwa apo nilkwenda nikafanikiwa kupata pande la samaki kubwa navyosema kubwa ni kubwa hasa sio viji samaki likiwa limeandamana na kichwa walikula kidogo tu wakaliacha pia kulikua na vyakula vya kopo navyo nikachukua na pombe flan ivi ilinywewa nusu ikaachawa basi nikatoka na mzgo mpaka tulipo nikafika salama tukala msoi vizuri na yule samaki alikua mkubwa kwaiyo atukutoka siku ya pili kwenda kusaka tena na alikua kaokwa samaki wale bongo hapa ni watu wa pesa ndio wamekua wakiwala sana mwenzangu Mimi utaishia kuwaona tu au kula walio haribika kama ngulu wa chumvi wale ni samaki walio haribika kwaiyo wamewekwa chumvi nyingi kuondoka ukakasi tu ukiwakuta ngulu wenyewe original awachachi na watu wanawapiga vizuri tu Ila pesa ndio inatulisha vya bei chee wapo ngulu wenyewe safi watamu ndugu zanguni.
Tuendelee katika vile vyakula pia palikua na pombe ambayo niliichukua nje ya kopo palikua na picha ya nyoka yani hapa sumu ya nyoka ndio ilitumika katika utengenzaji wa hii pombe na pia ilikua na kipimo chake kuna namba ziliandikwa pale unywi ovyo ovyo tu pia ilitakiiwa umix na vinywaji vingne kupunguza ukali wa alcohol
Sasa kuna mwenzetu alikua mbishi alisema yeye pombe anazijua vizuri na awezi kusumbuka na pombe kabla ajanywa tulichanganya na maji na kisha yeye kunywa baada ya muda tu kidogo akaanza kutetemeka na baadae akaanza kutoka manundu manundu mwilini bila shaka ile pombe ilianza kufanya kazi tukamnywesha maji kwa wingi lakini baadae alipata nafuu na kuna mmoja wetu alikwenda kule kwenye damp katika kusaka alipata maziwa yaliyo ganda akaja akampa mshkaji akanywa walau akawa na nafuu sasa ila Yale manundu ayakutoka.
Basi kama kawaida siku iyo mwenzetu mmoja akaenda kucheki misos kule kwenye ile damp wakati kaenda kucheki zaga kuna sehemu kama mafuta ivi alikanyaga sasa wakati anarudi akaacha alama za mguu wale jamaa walipokuja kutupa mchana panakaua na mwanga wakakuta zile alama hapa walishtuka na wakaisi kabisa kuna watu ndani wakanza kutusaka.
Walisaka siku ya kwanza awakutushika lakini pale tulipo tulikua tunasikia zile movement zao sisi tukiwa tumejibanza wale jamaa awakukata tamaa waliendelea na hatimae wakatukuta kule tulipo na wote tukashikwa na kutolewa hapa sasa ikawa ni vitendo tu maana lugha ilikua ni lugha gongana akuna maelewanao vitendo ivyo ilikua ni kichapo wale wazungu walikua wana tupiga makofi mateke mladi kichapo tu.
Tukapelekwa eneo flani ivi tukapewa kazi ya kusafisha pale ilikua ni siku nzima akuna chakula wala maji kazi tu full usafi yule jamaa yetu mwenye manundu sele alikua anaitwa wakamuhoji kwa vitendo imekuaje akawa ambia vile vile akawapa ishara ya kunywa akataja na alcohol wale jamaa wakamu elewa walicheka sana walielewa jamaa kaparamia pombe ile ngumu .
Basi jamaa waliendelea kutuweka chini ya ulinzi pale na msosi tulipewa Mara moja tu uku wakitafakari lakini bila shaka waliona wakiendelea kubaki nasi uko mbele ni matatizo wale jamaa tulikua nao ila ni bahat tu sababu uwaga awakawizi mtu akishikwa wanakurusha baharini utajijua mwenyewe.
Mara nyingi walikua wakijadiliana naona ilikua ni mipango ya kutuhua sasa na kweli muda uliwadia ilikua usiku niliwasikia wakitamka Mozambique bila shaka tulikua msumbiji walitupa Bible (biblia) tujiombee kama ni mkristo msilamu iyo aiwahusu wakatupa pamoja na boya kubwa mfano wa boti ili tuweze kusurvive nalo tukiwa majini baada ya kutoswa
Tupate maji na ftari tutarudi