The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
wadau,<br />
nahtaji kununua laptop,naomba kufahamu ni aina gani ya laptop nzuri yenye bei kuanzia 600,000 hadi 650,000 dukani? Na ni vitu gani vinazingatiwa ili kujiridhisha kuwa hii ni nzuri?<br />
2.vipi kuhusu modem kati ya hzi za voda,tgo,airtel au zantel? Ipi nzuri zaidi?<br />
Nawasilisha
nahtaji kununua laptop,naomba kufahamu ni aina gani ya laptop nzuri yenye bei kuanzia 600,000 hadi 650,000 dukani? Na ni vitu gani vinazingatiwa ili kujiridhisha kuwa hii ni nzuri?<br />
2.vipi kuhusu modem kati ya hzi za voda,tgo,airtel au zantel? Ipi nzuri zaidi?<br />
Nawasilisha