IQ_son_daughter
Member
- Dec 24, 2019
- 12
- 2
Laptop yangu inatatizo la charging system haipokei chaji, nimepeleka kwa fundi anarekebisha ila baada ya muda tatizo linarejea tena.
Naomba msaada wenu kama kunafundi mzuri anisaidie.
Asante
Naomba msaada wenu kama kunafundi mzuri anisaidie.
Asante