buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 550
- 401
Habari zenu
Laptop yangu imekumbwa na shida hiyo
Ipo fresh feni inazunguruka fresh ila shida unaweza ukaitumia ila kuna wakati inaganda haibonyezeki batani yoyote
Naamua kuizima tena na naiwasha tena naendelea kuitumia then inaamua kuganda
Msaada wa kutatua tatizo hilo ni nini nimepiga window mara nyingi ila bado
Laptop yangu imekumbwa na shida hiyo
Ipo fresh feni inazunguruka fresh ila shida unaweza ukaitumia ila kuna wakati inaganda haibonyezeki batani yoyote
Naamua kuizima tena na naiwasha tena naendelea kuitumia then inaamua kuganda
Msaada wa kutatua tatizo hilo ni nini nimepiga window mara nyingi ila bado