Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Kama kichwa kinavyojieleza, naombeni msaada jinsi ya kuitoa hiyo virus na kurudisha mafail yangu katika format sahihi.
Kwasasa picha, audio, video, docs etc zote zipo locked na .wiot format, hivyo siwezi hata kuzifungua.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kwasasa picha, audio, video, docs etc zote zipo locked na .wiot format, hivyo siwezi hata kuzifungua.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.