FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,591
Salaam wana jamii tech,
Naombeni ushauri ni laptop gani Brandnew naweza pata kwa bei isiyozidi 950k ambayo ina vigezo hivi
RAM 4GB
PROCESSOR COi 3 walau kuanzia generation ya 6
HDD kuanzia 500gb
Nimejaribu kupita mitandaoni bei zimechangamka sana alafu nyingi ni refurbished.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana sina heavy duty work.Nitashukuru nikiweza elekezwa na maduka yenye bei nzuri kwa kariakoo maana nina mpango kuja kununua huko baada ya kukosa hapa dodoma.
Nashukuru kwa ushirikiano wenu pia niko tayari kupokea ushauri mbadala ilimradi niweze kupata kitu kizuri.
Chief-Mkwawa na wengine wote ushauri wenu ni muhimu hapa
Naombeni ushauri ni laptop gani Brandnew naweza pata kwa bei isiyozidi 950k ambayo ina vigezo hivi
RAM 4GB
PROCESSOR COi 3 walau kuanzia generation ya 6
HDD kuanzia 500gb
Nimejaribu kupita mitandaoni bei zimechangamka sana alafu nyingi ni refurbished.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana sina heavy duty work.Nitashukuru nikiweza elekezwa na maduka yenye bei nzuri kwa kariakoo maana nina mpango kuja kununua huko baada ya kukosa hapa dodoma.
Nashukuru kwa ushirikiano wenu pia niko tayari kupokea ushauri mbadala ilimradi niweze kupata kitu kizuri.
Chief-Mkwawa na wengine wote ushauri wenu ni muhimu hapa