ngotho
Senior Member
- Jun 18, 2021
- 142
- 110
Wakuu nawasalimia kwa jina la Yesu
Wale wenzetu waislamu salaam aayqum.
Wakuu ivi kwa mtu anayesomea Bachelor of Science in Business Information Technology anafaa awe na PC gani?
Budget yangu ni 400,000/= je naweza kupata inayoendana na kozi yangu hiyo?
Naombeni ushauri.
Wale wenzetu waislamu salaam aayqum.
Wakuu ivi kwa mtu anayesomea Bachelor of Science in Business Information Technology anafaa awe na PC gani?
Budget yangu ni 400,000/= je naweza kupata inayoendana na kozi yangu hiyo?
Naombeni ushauri.