Jamani nina Laptop Hp Compaq nc 8230, mara ya kwanza ilikuwa na tatizo la display inawaka alafu inazima kama inapiga indicator, but nilipopeleka kwa fundi alipoifungua akatoa battery akakonect na adaptor, kuna AC iliyopo karibu na Processor ikawa inatoa moshi na cheche. Ushauri: Vipi yaweza pona mana ye hana spea ya hyo AC ama niuze kama spea. Ushauri tafadhari, nipo Iringa.