Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari wadau
Naomba mnijuze,ni kawaida kwa laptop kutoa upepo fulani upande wa kushoto?nina laptop yangu inafanya hivyo baada ya muda inatulia.na sababu ni nini?
Asanteni.
kweli ni kawaida kwa laptop hata Desk top kuwa na fan kwani hupuza vitu vingi humo ndani km Processor, Hard Disk n.k.habari wadau
Naomba mnijuze,ni kawaida kwa laptop kutoa upepo fulani upande wa kushoto?nina laptop yangu inafanya hivyo baada ya muda inatulia.na sababu ni nini?
Asanteni.
habari wadau
Naomba mnijuze,ni kawaida kwa laptop kutoa upepo fulani upande wa kushoto?nina laptop yangu inafanya hivyo baada ya muda inatulia.na sababu ni nini?
Asanteni.
usihofu ni kawaida kabisa. hakikisha unaweka laptop yako juu ya kitu kigumu kilichonyooka, ilikuwezesha upepo kupita vizuri. usiweke laptop juu ya godoro wala juu ya kitambaa kizito.
habari wadau
Naomba mnijuze,ni kawaida kwa laptop kutoa upepo fulani upande wa kushoto?nina laptop yangu inafanya hivyo baada ya muda inatulia.na sababu ni nini?
Asanteni.
habari wadau
Naomba mnijuze,ni kawaida kwa laptop kutoa upepo fulani upande wa kushoto?nina laptop yangu inafanya hivyo baada ya muda inatulia.na sababu ni nini?
Asanteni.
.
Kuna wakati inatoa Joto, Tena la maana tu!
.
.