Ina andikaj ikifika sehemu iyoMsaada wenu jamani, nina laptop yangu inagoma window ikifika nusu karibu na mwisho, nimepiga window 7 na window 8 zote zikifika nusu zinakataa, laptop yangu ni lenovo, ram Ģb 2, na HDD ni GB 500. Tatizo laweza kuwa ni nini na mnanisaidiaje wakuu
Ahsante mkuu ngoja nifanyie kazi hili afu ntakupa mrejeshoFormat hiyo HDD.Kama kuna vitu umetunza kwenye hiyo HDD,copy kwenye External HDD.Install hiyo 7/8/8.1/10 na baada ya hapo weka Partitions zako ukitumia Easy US.
Kabla ufanye hivi, waweza piga picha uweke hapa kwanza?Ahsante mkuu ngoja nifanyie kazi hili afu ntakupa mrejesho