habari wadau wa jf. Kwa mwenye updates za lapf km wameshotlist watu wa interview tufahamishane.
Habari wadau wa jf. Kwa mwenye updates za LAPF km wameshotlist watu wa interview tufahamishane.
jifunze kuapply na kupotezea, mana kama kila sehemu uki apply unakuwa na muhemuhe kiasi hicho si utashindwa kufanya issue zako nyingine mana akili itakuwa kila silku kwenye kuulizia shortlist za ma taasisi uliyoapply!
we apply,then tulia, kama uko shortlisted utapigiwa simu na ukiona kimya basi ujue kuna watu wameshachukuliwa hivyo piga moyo konde then endelea na application siku yako ikifika utakuwa shortlisted na utaajiriwa mungu akipenda.