Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 441
Ndugu wanajamvi, nimefuatwa kutoa ushauri. Nimeona ni vyema niwashirikishe wadau kwani naamini wapo ambao wapo kazini au wameshastaafu, hivyo kuwa na uelewa na hili.
1. Upi ni mfuko unaotoa mafao ndani muda stahiki?
Kuepusha usumbufu pale mtu anapoacha/kufukuzwa kazi
2.Warithi hawasumbuliwi kudai haki za aliyekuwa mwanachama.
PPF wana kipengele cha kuandika jina la mrithi pale unapojisajili, LAPF hawana na maelezo ni kuwa mrithi akishateuliwa na familia/mahakama, atalipwa. (Walioko vijijini kabisa, watamudu hizi process?). Kuna walakini wowote?
3.Mwajiri anaweka michango on time.
Waajiri wengine wanapuuzia na hawaweki michango hata ya mwaka mzima. je, kina nani (LAPF or PPF) wanafuatilia ikiwa ni pamoja na kuwapeleka mahakamani ili mwanachama asisumbuke?
4. Uzeeni, nani anatoa mafao/pension kwa kiwango kizuri?
1. Upi ni mfuko unaotoa mafao ndani muda stahiki?
Kuepusha usumbufu pale mtu anapoacha/kufukuzwa kazi
2.Warithi hawasumbuliwi kudai haki za aliyekuwa mwanachama.
PPF wana kipengele cha kuandika jina la mrithi pale unapojisajili, LAPF hawana na maelezo ni kuwa mrithi akishateuliwa na familia/mahakama, atalipwa. (Walioko vijijini kabisa, watamudu hizi process?). Kuna walakini wowote?
3.Mwajiri anaweka michango on time.
Waajiri wengine wanapuuzia na hawaweki michango hata ya mwaka mzima. je, kina nani (LAPF or PPF) wanafuatilia ikiwa ni pamoja na kuwapeleka mahakamani ili mwanachama asisumbuke?
4. Uzeeni, nani anatoa mafao/pension kwa kiwango kizuri?