Ndugu wanajamvi,
Poleni na majukumu na pia kampeni. Meli inakaribia kutia nanga magogoni, kitalu namba moja.
On another note: Naomba kupata msaada wa kifundi kuhusiana na hii gari tajwa hapo juu. Mwenye utaalamu au uzoefu na hii gari: Is it worthy to purchase it? Vipi kuhusu vipuri ? Je, vipuri hivi vinapatikana kirahisi hapa bongo? Je, inamagonjwa gani yanayosumbua au ni gari ambayo ni roho ya paka ? Inaenda Km ngapi kwa lita moja?
Naomba msaada wenu wanajamvi
Poleni na majukumu na pia kampeni. Meli inakaribia kutia nanga magogoni, kitalu namba moja.
On another note: Naomba kupata msaada wa kifundi kuhusiana na hii gari tajwa hapo juu. Mwenye utaalamu au uzoefu na hii gari: Is it worthy to purchase it? Vipi kuhusu vipuri ? Je, vipuri hivi vinapatikana kirahisi hapa bongo? Je, inamagonjwa gani yanayosumbua au ni gari ambayo ni roho ya paka ? Inaenda Km ngapi kwa lita moja?
Naomba msaada wenu wanajamvi