Landmark domestic trial victory:Tanzanian Domestic Worker in the UK awarded £56,000

Nyie mlio elimika mbona hamkuuliza sisi tunaoishi hapa kwa nini tunaona hii habari ina mapungufu mpaka tumesema hivyo?? Kwa taarifa yako sio tu kwamba habari na misingi ya kesi yenyewe inaacha maswali mengi bila majibu; bali hata hao walimsaidia huyu dada TAWA nao wana maswali ya kujibu…ndio maana nimeuliza kati ya hizo 56,000 victim mwenyewe Elizabeth amepokea kiasi gain? Unaweza kunipa jibu mkuu wewe uliyeelimika, ndio nyie mnaoamini 100% kila kitu kama kilivyoandikwa achieni wengine wanaoweza kusoma between the line.



I know better to say what I said na bado nasema tena, huyu dada amefundishwa kusema hayo aliyasema. Angalia taratibu za kupata visa ya domestic worker UK then uje nikuelimishe kwa nini hii kesi ina walakini. Kwa kuongezea, UK ni nchi inayoongozwa na Sheria ukiwa makini unaweza kunufaika na Sheria hizi kama ambavyo naamini kwenye hii kesi kuna watu wamenufaika.



Fairplay,

Kama unaamini kuna wabongo wamejilipua UK kwa michongo..kwa nini unashindwa kuamini kuwa hii kesi inawezekana ni mchongo pia. Jambo usilolijua waulize wenyeji badala ya kujifanya mjuaji.

Kwanza, ni mapungufu gani ambayo habari hii inayo? hebu tuambie basi. Pili, ni maswali gani hayo "mengi" ya kujibu? Tuorodhoshee moja hadi lingine. Tatu, tafadhali "tuelimishe" jinsi ambavyo kesi hii ina "walakini" vis-a-vis taratibu za maombi ya visa za mfanyankazi wa nyumbani.

Hata kama kiasi fulani cha compensation ya pauni 56,000 aliyotunukiwa huyo dada ingetumika kwa gharama za kuendesha kesi au mambo mengineyo, la msingi ni kwamba madai ya mlalamikaji yamefanikiwa kushinda mbele ya sheria ya UK.

Kwa kumalizia, kama unafahamu kwa kinaga ubaga undani wa kesi hii hadi kudai kwamba kesi hii ni "mchongo", basi tufahamishe vipingamizi vyako dhidi ya mlalamikaji kushinda hii kesi na siyo kutuletea argument za kipuuzi za dizaini ya "wabongo kujilipua UK kwa michongo".
 
Wape acha hizo sweeping statements.

Usijumuishe "You make me ashamed to be one of you who contributes to this blog"

Kwani mtu mmoja akipinga lazima iwe ni reflection ya Blog?

Kama unakuwa ashamed, get out. It is so simple!

I intend to do that. kwasababu nimeshona fikra za watu wengine ni finyu na duni sana na uswahili ni mwingi. They say 'don't argue with a fool, you will be seen as a fool yourself'. chao, asta la vista, siku njema.
 
Kati ya yooooote, ishu muhimu hapa ni kushikilia passport yake.

Domestic Workers Visa

Can my employer keep my passport?
Your passport is your proof of your permission to stay in the UK. You should keep it yourself in a safe place. If your employer is holding your passport without your permission and refuses to return it, you should report this to the police and your embassy or diplomatic mission.


Mengine yote, ni her word against theirs. Sasa mpaka ifike steji ya Ubalozi kuomba passport...........then something is seriously wrong.

well, first and foremost she could not speak english, uneducated, no relatives in the Uk and scared of anybody with authority as most tanzanians are. She seemed to have suffered in silence, and the only person she could cry to was her God. And the only persons to believe her and praise her for her courage was a white man/women (the judges), but who would condem her, a fellow Tanzanian. How ironic. Scared and lonely, no money, where would she have gone. As l have read in the blogs, she is from Iringa, Njombe. If you want to learn more. Just go to google and type 'Elizabeth Kawogo' and you will get most information about her. Good luck. Jiunge nasi na wote wanao tetea haki za binadamu, hasa wanyoge. chao bene.
 
Back
Top Bottom