Ulimbukeni hii ndiyo dawa yake. Huenda mhusika hajatolea jasho pesa aliyonunua huu mchuma hadi akaenda kuuosha kwa maji yaliyojaa vinyesi na mikojo. Likikwapuliwa anaanza kulia lia.
Nina maswali mia moja,
huyo jamaa hakuweka handbrake? Gari ilikuwa free?
Budget ya kuosha ilikuw angumu?
Yeye alikuwa wapi muda huo, anakula nyama choma?
Ofisini wanajua huwa linasafishwa hapo? ama kweli za mwizi 40.
Atajielezaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.