Landcruiser 80 generation, Gasoline/Petrol ni ugonjwa wa moyo!

d8fbabe0f118e3ee4dbd6efe2768fe5f.jpg

572cdc02dc8ea983b5360feaeb07a743.jpg


Hii moja ya juu ni petrol gia tatu zinafunguka balaa ingawa za zamani sasa hivi huwezi kuzipata.
hii ya chini ndio niliojifunzia udereva lilikuwepo hom haya magari hayana pawastering yaani na breki ya hili gari letu ilikuwa ya kubangaiza.ni shida napenda sana hizi gari
Hizi ni generation/toleo la mwazo kabisaa
 
Nimecheka saana man,,,,,,,kiukweli kama uwezo unakuwepo....haya ndiyo magari yenye uwakika saana hasa katika shughuri zetu kiafrika....
Kweli mkuu mtu unakuta kavimba kwenye kigari kinachoishia magotini tu

Hizi ndiyo gari za kununua sema vyuma tu
 
Photo ilikuwa zamani mkuu, diesel za siku hizi zina offer the best of both worlds , ukitaka mbio imo, ukitaka performance pia IPO ,Na yet ni, economical,
Sorry typing errors , nilimaanisha hiyo ,not photo
 
Photo ilikuwa zamani mkuu, diesel za siku hizi zina offer the best of both worlds , ukitaka mbio imo, ukitaka performance pia IPO ,Na yet ni, economical,
Hapana mkuu,though modern cars za diesel wanajitahd kuimprove lkn bado purpose ya diesel ni kua more economical zaidi rather than performance.
 
Gari ninayoahangaika kuipata ni land rover defender tdi itanifaa sana kwa safari zangu za porini.
befoward hizi gari hawana kbs
 
Back
Top Bottom